Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DSTV YAZINDUA CHANELI MPYA MUZIKI ,FILAM PAMOJA NA MAHOJIANO

 Meneja wa Mahusiano wa MultChoice Tanzania (DSTV),Barbara Kambogi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya uzinduzi wa chaneli mpya ya Maisha Magic Bongo inayoanza leo kwa kuonyesha muziki,filam pamoja na mahojiano iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa MultChoice Tanzania,Furaha  Samari, na kulia ni Mwakakilishi wa MNET Afrika Mashariki,Lisa Venter.Mwakakilishi wa MNET Afrika Mashariki,Lisa Venter akizungumza na  waandishi (hawapo pichani) juu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WANAHABARI WASHIRIKI UZINDUZI WA CHANELI MPYA YA DSTV AFRIKA KUSINI

Waandishi wa habari wa mataifa mbalimbali ya Afrika walivyoshiriki kwenye uzinduzi wa chaneli mpya ya watoto ya Nick Jr, jana Jumamosi jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Chaneli hiyo itakuwa ikionyesha masuala mbalimbali ya watoto kupitia chaneli za DStv.…

 

9 years ago

Dewji Blog

MAISHA MAGIC BONGO: Imefika mpya kutoka M-NET kuwalenga Watanzania ndani ya DSTV chaneli 160!

DSC_2017

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania, Barbara Kambogi, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa Chaneli mpya ya Maisha Magic Bongo ambayo inaanza kuonekana leo Oktoba Mosi kupitia DSTV Chaneli 160, kwa wateja wa DStv. Kushoto ni Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu na kulia ni Mwendeshaji Mkuu wa M-NET kwa Afrika Mashariki, Bi Lisa Venter. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).

DSC_2025Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania,...

 

9 years ago

Michuzi

DStv YAJA NA CHANELI YA MAISHA MAGIC BONGO, KWA AJILI YA WATANZANIA

D3A_5097Mkurugenzi M-Net Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice hivi karibuni nchini Mauritius.D3A_5116Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus akifurahi jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi mbalimbali za Afrika.
Na Modewjiblog,...

 

9 years ago

GPL

DSTV YAJA NA CHANELI YA MAISHA MAGIC BONGO, KWA AJILI YA WATANZANIA‏

Mkurugenzi M-Net Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice hivi karibuni nchini Mauritius. Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus akifurahi jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari...

 

10 years ago

GPL

STAR TIMES YAZINDUA CHANELI NNE ZA BURUDANI KWA MPIGO!

Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa chaneli mpya ambazo ni IROKO PLAY, IROKO PLUS, AMC SERIES na STARTIMES ZONE. Kushoto akifuatilia kwa makini uzinduzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam ni msanii wa Bongo Flava na balozi mpya wa kampuni hiyo, Nurdin Bilal au maarufu kama Shetta. ...akiendelea kufafanua.…
...

 

9 years ago

Michuzi

MAISHA MAGIC BONGO IMEFIKA! CHANELI MPYA INAYOZINDULIWA NA M-NET KUWALENGA WATANZANIA.

Kampuni inayoongoza kwa burudani barani Afrika, M-Net inazindua chaneli mpya yenye  kulenga watanzania, itakayokuwa na burudani mbali mbali zenye hadhi ya Kitanzania,  ni  MAISHA MAGIC BONGO itakayoanza kuonekana hewani Octoba 1 saa 10 Alasiri.   Moja ya madhumuni ya M-Net ni kuhakikisha inalifikia soko la wateja wake ikiwemo kuingiza maudhui wanayopenda wateja wake. Chaneli hii mpya inategemea kukidhi mahitaji ya soko la wateja wa Tanzania. Ikihusisha vipindi zaidi ya 6 vitakavyokuwa...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

DSTV Tanzania yazindua kifurushi kipya

3

Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kulia), akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa kifurushi kipya cha  DSTV Bomba.(katikati), Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Barbara Kambogi, na kushoto ni Meneja Masoko wa Multichoice, Furaha Samalu.

Na Mwandishi wetu

KAMPUNI ya Multichoice Tanzania  kupitia huduma ya DSTV imewataka wasanii kupeleka kazi zao ili waweze kutambulika nje na ndani ya nchi.

Kauli hiyo imetolewa  Dar es Salaam leo na Meneja Masoko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani