WANAHABARI WASHIRIKI UZINDUZI WA CHANELI MPYA YA DSTV AFRIKA KUSINI
Waandishi wa habari wa mataifa mbalimbali ya Afrika walivyoshiriki kwenye uzinduzi wa chaneli mpya ya watoto ya Nick Jr, jana Jumamosi jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Chaneli hiyo itakuwa ikionyesha masuala mbalimbali ya watoto kupitia chaneli za DStv.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fYxyfSW4Q14/Vg0381cfkiI/AAAAAAAH8J8/gcqNvo6stkA/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
DSTV YAZINDUA CHANELI MPYA MUZIKI ,FILAM PAMOJA NA MAHOJIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fYxyfSW4Q14/Vg0381cfkiI/AAAAAAAH8J8/gcqNvo6stkA/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T994qvKFgI0/Vg039GtukrI/AAAAAAAH8KA/I61poIWpSVg/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
MAISHA MAGIC BONGO: Imefika mpya kutoka M-NET kuwalenga Watanzania ndani ya DSTV chaneli 160!
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania, Barbara Kambogi, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa Chaneli mpya ya Maisha Magic Bongo ambayo inaanza kuonekana leo Oktoba Mosi kupitia DSTV Chaneli 160, kwa wateja wa DStv. Kushoto ni Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu na kulia ni Mwendeshaji Mkuu wa M-NET kwa Afrika Mashariki, Bi Lisa Venter. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).
Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania,...
9 years ago
Michuzi28 Sep
DStv YAJA NA CHANELI YA MAISHA MAGIC BONGO, KWA AJILI YA WATANZANIA
![D3A_5097](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3A_5097.jpg)
![D3A_5116](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3A_5116.jpg)
Na Modewjiblog,...
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/D3A_5097.jpg)
DSTV YAJA NA CHANELI YA MAISHA MAGIC BONGO, KWA AJILI YA WATANZANIA
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Afrika kusini yaweka sheria mpya ya watoto
9 years ago
Bongo507 Nov
Mwana FA kwenda Afrika Kusini kushoot video ya wimbo mpya
![FA](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/FA-300x194.jpg)
Mwana Fa ni miongoni mwa wasanii waliositisha kazi zao za muziki ili kupisha mambo ya kampeni pamoja na uchaguzi, na sasa baada ya hayo yote kumalizika yuko tayari kurejea kwenye uwanja wake wa kujidai, yaani muziki.
Binamu amesema kuwa ana kazi nyingi ambazo amezifanya na anaendelea kufanya zingine, “Kweli nina kazi wala sio kazi moja wala sio kazi mbili, yani nina kazi kadhaa na wiki ijayo narekodi nyingine,” aliiambia Planet Bongo ya East Africa Radio. “ lakini haya mambo ya uchaguzi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rBBDi6YOQw4/Vg16fmOXUNI/AAAAAAAH8PY/bj4gQYxK4LM/s72-c/mm.png)
MAISHA MAGIC BONGO IMEFIKA! CHANELI MPYA INAYOZINDULIWA NA M-NET KUWALENGA WATANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-rBBDi6YOQw4/Vg16fmOXUNI/AAAAAAAH8PY/bj4gQYxK4LM/s640/mm.png)
10 years ago
Bongo526 Sep
Video mpya ya Rich Mavoko ‘ Pacha Wangu’ aliyoshoot Afrika Kusini na director AJ
11 years ago
Dewji Blog17 Jul