EFM YATOA MAFUTA KWA WASIKILIZAJI WAKE JIJINI DAR
Mtangazaji wa EFM, Gardner G. Habash akibandika stika katika gari la mmoja wa wasikilizaji wa radio hiyo mara baada ya kumwekea mafuta katika kituo cha kuuza mafuta cha TSN, Bamaga jijini Dar. Gardner G. Habash akiangalia stika kwa makini kabla ya kumwekea mafuta msikilizaji wa EFM.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IKi8isBA5VM/VC6PaoxAN7I/AAAAAAAGniA/Dv6IYFWTiP4/s72-c/DSCF9215.jpg)
EFM kukutana na wasikilizaji wake kupitia Tamasha la Muziki Mnene
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKi8isBA5VM/VC6PaoxAN7I/AAAAAAAGniA/Dv6IYFWTiP4/s1600/DSCF9215.jpg)
11 years ago
MichuziPSPF YATOA ELIMU YA MFUKO WAKE KWA WANAHABARI JIJINI DAR
Miongoni mwa huduma wanazotoa na ikiwa ni huduma ya fao jipya ni Mpango wa Uchangiaji kwa Hiyari (PSS) ambapo mwanachama anatakiwa kujiunga kwa kiwango cha chini cha shilingi 10,000/= na kuchangia kadri awezavyo kila siku, wiki, Mwezi na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s72-c/IMG-20141014-WA0002.jpg)
LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s1600/IMG-20141014-WA0002.jpg)
Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
11 years ago
GPLGEPF YATOA SEMINA KWA WANAHABARI JIJINI DAR
Meneja Masoko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akita mada katika semina ya wanahabari. Sehemu ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar wakimsikiliza Aloyce.…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZmfGrNF7vmY/VRsdyVZdxgI/AAAAAAAHOnc/GaSEiZ4BnYM/s72-c/DSCF7732.jpg)
PSPF YATOA SOMO KWA WADAU WA HABARI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZmfGrNF7vmY/VRsdyVZdxgI/AAAAAAAHOnc/GaSEiZ4BnYM/s1600/DSCF7732.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AhIZh75C2lU/VRsdzvihtQI/AAAAAAAHOnw/lIYuvf9rxaw/s1600/DSCF7745.jpg)
10 years ago
VijimamboCBE YATOA MAFUNZO MAALUM KWA WAJASIRIAMALI WA JIJINI DAR-ES-SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DOYl7_-lIfE/Uvfgb5jOVLI/AAAAAAAAdg0/wm9n4z7rbnE/s72-c/unnamedG.jpg)
TAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR
Taasisi isiyo ya kiserikali ya TAI - Tanzania Aspiration Initiatives imefanya mafunzo ya kulinda afya kwa vitendo kwa wanafunzi Zaidi ya 200 wa Darasa la Kwanza, la pili na darasa la awali katika shule ya msingi Kilimani iliyopa Sinza Uzuri wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam ikiwa ni muendelezo wa miradi miwili inayojulikana kama Mikono Ming’avu (MiMi) na Kinywa Kisafi (KiKi).
Miradi yote ina lengo kuu la kupambana na magonjwa yanayoweza kuzuilika kama Magonjwa ya tumbo na...
Miradi yote ina lengo kuu la kupambana na magonjwa yanayoweza kuzuilika kama Magonjwa ya tumbo na...
11 years ago
MichuziTAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ClAm1i34ec4/Vi0-W-xLGQI/AAAAAAAICy0/m3wpBSyQTLg/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Muziki munene wa EFM 93.7 Watikisa Tegeta jijini Dar es salaam
SHANGWE za muziki mnene wa 93.7 EFM bado zinaendele. Ijumaa iliyopita ilikuwa zamu ya wakazi wa Tegeta . Burudani ya aina yake ikiongozwa na timu nzima ya EFM ilishushwa ndani ya kimori high way park Tegeta , huku wakazi wa Tegeta wakikutana ana kwa ana na watangazaji na RDJ’s wa 93.7EFM. Burudani ilianza na kabumbu kati ya EFM na Boko beach veteran katika uwanja wa boko beach ambapo EFM waliibuka na ushindi mabao matatu huku Boko beach veteran wakiambulia sifuri. "Muziki mnene bado...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania