Ehh! Wafurahia Diamond kukosekana msiba wa Gurumo

Marehemu Muhidin Gurumo(kushoto) na Nasibu Abdul ‘Diamond’. Na Hans Mloli HALI ya kustaajabisha imetokea hivi karibuni katika msiba wa nguli wa muziki wa dansi, Muhidin Gurumo baada ya baadhi ya watu waliohudhuria kwenye mazishi hayo kufurahishwa na Nasibu Abdul ‘Diamond’ kutokuwepo kwenye shughuli hiyo. Msiba huo uliofanyika nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini, ulihudhuriwa na watu wengi maarufu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
JUST IN: JK AHANI MSIBA WA MUHIDIN MAALIM GURUMO JIONI HII

Marehemu Gurumo, aliyefariki dunia juzi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matatizo ya moyo, atakumbukwa kama Baba wa Muziki wa dansi nchini akianzia miaka ya 1960 na bendi mbalimbali ikiwemo NUTA Jazz na kumalizia...
11 years ago
GPL
JK AHANI MSIBA WA MUHIDIN MAALIM GURUMO JIONI YA JANA
11 years ago
Michuzi
MAENDELEO YA MSIBA WA MZEE MUHIDIN MAALIM GURUMO NYUMBANI KWAKE MABIBO MCHANA WA LEO


11 years ago
Dewji Blog15 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aongoza waombolezaji msiba wa Maalim Muhidin Gurumo, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, na baadhi ya waombolezaji wakati alipowasili nyumbani kwa marehemu Maalim Muhidin Gurumo, Mabibo jijini Dar es Salaam, kwa ajili kuaga mwili wa marehemu kabla ya kusafirishwa kuelekea Kijijini kwao Masaki Wilaya ya Kisarawe kwa maziko, leo, Aprili 15, 2014 . Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...
11 years ago
GPL
GURUMO AFA NA ZAWADI YA DIAMOND
10 years ago
Bongo Movies20 Dec
Wema Na Diamond Wafurahia Usiku Mmoja Jijini Kampala,Uganda
Usiku wa jana tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama 1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party.
Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana matukio hayo kama ifuatavyo;
Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea nchini...