Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eid El Fitr uwanja wa samora mjini iringa leo

Waumini  wa  dini ya kiislamu mjini  Iringa  wakiwa katika ibada ya Eid el Firt  uwanja wa Samora  leoIbada ya   Eid ikiendelea katika uwanja wa Samora mjini Iringa  leo Wazee maarufu na makada  wa  CCM ambao ni waumini wa dini ya Kiislam  wakipiga picha ya pamoja na mwenyekiti wa CCM Iringa mjini Abed Kiponza  kulia  wa pili  kulia ni Mr  MbataKhutba baada ya SWala ya Eid el Fitr uwanja wa Samora mjini Iringa leo.
Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA IRINGA WABURUDIKA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA 2014 NDANI YA UWANJA WA SAMORA.

 Wasanii wa muziki wa Bongofleva Ommy Dimpo na Vanessa Mdee a.k.a Vmoney wakilishambulia jukwaa kwa pamoja mbele ya umati wa mashabiki wa tamasha la Fiesta 2014  lililofanyika jana ndani ya uwanja wa Samora mkoani Iringa,huku miluzi na shangwe zikisikika kila kona ya uwanja.Tamasha la Fiesta linatarajiwa kufanyika kesho mjini Morogoro katika uwanja wa Jamuhuri ambapo wasanii mbalimbali wa bongofleva watatumbuiza.Baadhi ya Mashabiki wakishangqweka. Msanii Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya...

 

10 years ago

Mwananchi

Waislamu washerehekea Sikukuu ya Eid el Fitr leo

>Waislamu  nchini leo wanajumuika na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Eid el Fitr baada ya jana kumaliza mfungo wa mwezi  mtukufu wa Ramadhani.

 

10 years ago

Michuzi

Wakazi wa Dar wakiisherehea sikukuu ya Eid El Fitr kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo

 Sehemu ya wakazi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo, ikiwa ni sehemu ya kuisherehekea sikumbuki ya Eid El Fitr.  Wengi hupenda kwenda sehemu ya namna hii kwa ajili ya kupunga upepo mwanana wa Bahari. 

 

11 years ago

Michuzi

Swala ya Eid El Fitr kitaifa yaswaliwa kwenye viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar leo

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Bilal (katikati),Sheikh Mkuu,Issa Shaaban Simba,Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Sadick na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Sheikh Mussa Salum wakijumuika na Waumini wengine wa Dini ya Kiislam kwenye Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika Kitaifa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam leo.Picha zote na Othman Michuzi.


Sehemu ya Waumini wa Dini ya Kiislam wakiwa kwenye Ibada ya Eid el Fitr katika...

 

10 years ago

BBC

Eid al-Fitr celebrated across Africa

Muslims across Africa are celebrating Eid al-Fitr at the end of the holy fasting month of Ramadan.

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA EID AL FITR DMV

 Watanzania wakipata ukodak wa kumbumbuku baada ya sala na chakula cha Eid Al Fitr vyote kwa pamoja vilifanyika ndani ya New Masji, Good Luck Rd Lanham. MD.

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA EID EL FITR DMV

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiongea na mmoja wa Watanzania wa DMV(kulia) wakati sherehe ya Eid iliyofanyika Wheaton, Maryland nchini Marekani siku ya Jumatatu July 28, 2014 na kuhudhuliwa na Watanzania wa DMV na marafiki zao, katikati ni afisa wa maswala ya uhamiaji Bwn. Abbas Missana.Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watanzania wa DMV na marafiki zao waliohudhuria sherehe ya Eid iliyofanyika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Usalama wakati wa Eid El Fitr, Mombasa

Idara za usalama nchini Kenya, zimebuni mikakati kabambe, kudumisha hali ya usalama wakati wa siku kuu ya Eid.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani