Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Elimisheni wanamgambo waache unyanyasaji’

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umezitaka Halmashauri za Wilaya, Manispaa, Miji na Majiji nchini kujipanga na kuwaelimisha wanamgambo waache mara moja tabia ya kuwanyanyasa wajasiriamali wakiwemo wamachinga na mamalishe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Elimisheni wananchi kabla ya kura ya Maoni

 Kampeni za kuelekea upigaji wa kura ya maoni kuhusu mchakato wa Katiba Inayopendekezwa zinatarajiwa kuanza Machi 30, mwaka 2015.

 

10 years ago

Habarileo

‘Elimisheni jamii matumizi sahihi ya maji’

MAMLAKA za majisafi na usafi wa mazingira nchini zimetakiwa kutumia maadhimisho ya Wiki ya Maji kuelimisha watumiaji wa huduma hizo matumizi sahihi ya maji kukabili ongezeko la Ankara za maji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi waache kuinyanyasa CHADEMA

MOJA ya habari zilizomo kwenye Gazeti hili leo, zinasema kuwa jeshi Polisi wilayani Kyerwa limewatawanya kwa mabomu ya machozi, wananchi waliojitokeza kumlaki Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Wanawake wa...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAACHE UNYANYAPAA WA CORONA

Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe amepinga vikali tabia mbaya ya kunyanyapaa Watu wanaokuja toka kwenye maeneo ya wilaya na mikoa mingine  kwa kuwahisi wameambukizwa virusi vya Corona pasipo kuthibitishwa na Wataalamu wa afya.
Gavana Shilatu amewasisitiza Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe kuzijua vyema dalili za Mtu mwenye virusi vya Corona kama vile kikohozi kibichi, homa, maumivu ya mwili, kuuma kwa koo na awe amethibitishwa na Wataalamu wa afya na sio kuanza ubaguzi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete- Wajumbe waache kashfa

RAIS Jakaya Kikwete amewataka wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, kuacha kuwakashifu waasisi wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume. Amesema yeye hatishwi na vijembe, wanavyotoa baadhi ya wabunge wa Bunge hilo. Lakini, ameonya waache kutoa vijembe vikali, alivyoviita “vya chini ya mkanda”, mfano kukashifu waasisi wa Taifa. Rais amesisitiza kuwa ana matumaini makubwa na mchakato wa Katiba mpya, unaoendelea na kwamba anafurahia jinsi mijadala, inavyoendeshwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM waache ujuha Bunge la Katiba

NIMEPOKEA kwa masikitiko makubwa na kujikuta nalitazama taifa hili kama shamba lisilokuwa na mmiliki wake. Ninapata shida sana ninapoona na kusikia viongozi wakubwa wa taifa hili wakidiriki kutoa kauli za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban ataka watu waache unyanyapaa

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan:Wanamgambo kifungoni

Wanamgambo wa Taliban waliohusika na shambulizi la miaka mitatu iliyopita dhidi ya Malala Yousafzai wahukumiwa kifungo

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS

Ndege za Marekani zimeshambulia wanamgambo wa kundi la Islamic state kaskazini mwa Iraq

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani