‘Elimisheni wanamgambo waache unyanyasaji’
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umezitaka Halmashauri za Wilaya, Manispaa, Miji na Majiji nchini kujipanga na kuwaelimisha wanamgambo waache mara moja tabia ya kuwanyanyasa wajasiriamali wakiwemo wamachinga na mamalishe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Elimisheni wananchi kabla ya kura ya Maoni
10 years ago
Habarileo20 Mar
‘Elimisheni jamii matumizi sahihi ya maji’
MAMLAKA za majisafi na usafi wa mazingira nchini zimetakiwa kutumia maadhimisho ya Wiki ya Maji kuelimisha watumiaji wa huduma hizo matumizi sahihi ya maji kukabili ongezeko la Ankara za maji.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Polisi waache kuinyanyasa CHADEMA
MOJA ya habari zilizomo kwenye Gazeti hili leo, zinasema kuwa jeshi Polisi wilayani Kyerwa limewatawanya kwa mabomu ya machozi, wananchi waliojitokeza kumlaki Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Wanawake wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cPou8QnNLgo/Xp4Cy8ed2BI/AAAAAAALnnk/JMhdEjpuxzknDW7Hxc5AEICyQwpnOeIfACLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1587407145492.jpg)
WANANCHI WAACHE UNYANYAPAA WA CORONA
Afisa Tarafa Mihambwe amepinga vikali tabia mbaya ya kunyanyapaa Watu wanaokuja toka kwenye maeneo ya wilaya na mikoa mingine kwa kuwahisi wameambukizwa virusi vya Corona pasipo kuthibitishwa na Wataalamu wa afya.
Gavana Shilatu amewasisitiza Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe kuzijua vyema dalili za Mtu mwenye virusi vya Corona kama vile kikohozi kibichi, homa, maumivu ya mwili, kuuma kwa koo na awe amethibitishwa na Wataalamu wa afya na sio kuanza ubaguzi wa...
11 years ago
Habarileo18 Apr
Kikwete- Wajumbe waache kashfa
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, kuacha kuwakashifu waasisi wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume. Amesema yeye hatishwi na vijembe, wanavyotoa baadhi ya wabunge wa Bunge hilo. Lakini, ameonya waache kutoa vijembe vikali, alivyoviita “vya chini ya mkanda”, mfano kukashifu waasisi wa Taifa. Rais amesisitiza kuwa ana matumaini makubwa na mchakato wa Katiba mpya, unaoendelea na kwamba anafurahia jinsi mijadala, inavyoendeshwa...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
CCM waache ujuha Bunge la Katiba
NIMEPOKEA kwa masikitiko makubwa na kujikuta nalitazama taifa hili kama shamba lisilokuwa na mmiliki wake. Ninapata shida sana ninapoona na kusikia viongozi wakubwa wa taifa hili wakidiriki kutoa kauli za...
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ban ataka watu waache unyanyapaa
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Pakistan:Wanamgambo kifungoni
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Marekani yashambulia Wanamgambo wa IS