ELIMU YA URAIA NA UPIGAJI KURA HAIPASWI KUWA NA UTASHI WA KISIASA WALA UPENDELEO
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo (UNDP) Godfrey Mulisa akisoma risala ya ufunguzi wa warsha hiyo kwa niaba ya Philippe Poinsot inayoendelea kwenye ukumbi wa mikutano ofisi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma. Afisa Miradi ya…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Elimu ya uraia na upigaji kura haipaswi kuwa na utashi wa kisiasa wala upendeleo
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa shirika la kimataifa la sayansi, elimu na utamaduni (UNESCO) Bwana Al Amin Yusuph akielezea madhumuni ya warsha ya wadau wa mradi wa uchaguzi 2015 unaolenga kuboresha demokrasia amani nchini katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu ujao, unaofadhiliwa na Shirika La Kimataifa la Maendeleo (UNDP) ulioenda sambamba na mkutano wa tano wa Mtandao wa vyombo vya habari vya Kijamii nchini (COMNETA).
Na Mwandishi wetu
Uchaguzi huru na wa haki...
10 years ago
MichuziWASANII WATAKIWA KUTOA ELIMU YA UPIGAJI KURA
Wasanii nchini wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa elimu ya uraia kwa wananchi ili watambue umuhimu wa kupiga kura na kuwaweka madarakani viongozi wanaowataka.
Wito huo umetolewa mapema wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza wakati akichangia mada kuhusu Umuhimu wa Jamii kupiga kura kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika makao makuu ya BASATA Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
“Kama taifa tunazungukwa na matukio mengi...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Oct
Sauti:Elimu ya uraia (kupiga kura uchaguzi)
Sikiliza repoti ya Salma Said:
The post Sauti:Elimu ya uraia (kupiga kura uchaguzi) appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Pasipo utashi wa kisiasa ujangili hautakwisha
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Katiba nzuri bila utashi wa kisiasa ni bure
DESEMBA 30, 2013, rasimu ya pili ya katiba imewasilishwa serikalini. Ni ishara kwamba tunaelekea kupata Bunge la Katiba, kura ya maoni na hatimaye katiba mpya kama itaridhiwa. Ukisikiliza maoni kutoka...
9 years ago
Bongo529 Sep
Hemedy PHD: Ningependa wasanii tusaidie kutoa elimu ya upigaji kura kuliko kushabikia vyama
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Ukosefu wa uzalendo, utashi wa kisiasa katika kukuza Kiswahili
9 years ago
MichuziUTASHI WA KISIASA WAHITAJIKA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs) YA 2016-2030
10 years ago
Mwananchi24 Oct
AG Zanzibar: Nitafanya kazi bila woga wala upendeleo