Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ELIZABETH GURUMO NDIYE MAMA MJASILIAMALI BORA 2014, AZAWADIWA MILIONI TANO

Mgeni rasmi, Ahmed Shikeli, akimkabidhi cheki ya shilingi milioni tano mshindi Elizabet Gurumo. Elizabeth akiwa ameinyanyua juu cheki yake ya milioni tano mara baada ya kukabidhiwa.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ELIZABETH GURUMO NDIYE MAMA MJASILIAMALI BORA 2014

Mgeni rasmi, Ahmed Shikeli, akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano mshindi Elizabeth Gurumo.   Akina mama waliofanikiwa kuingia tano bora.…

 

10 years ago

Michuzi

ELIZABETH TARIMO NDIYE MSHINDI WA MISS KANDA YA MASHARIKI 2014

Mshindi wa Taji la Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2014 ,  Elizabeth  Tarimo (18) ambaye pia ni Miss Lindi akiwa mwenye uso wa furaha na tabasamu la ushindi sambamba na  mshindi wa pili  Nidah Katunzi (19) ( kulia) ,ambaye ni Miss Mtwara pamoja na wa tatu, Lucy Julius Diyu  (21) (kushoto) Miss Morogoro baada ya kutangazwa kuwa washindi kwenye nafasi hizo wakati  kinya’ganyiro cha kuwania taji hilo  kilichofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa Hoteli ya Nashera ya mjini...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL FURSA YATUMIA ZAIDI YA MILIONI 3 KUMPIGA TAFU MJASILIAMALI MWINGINE‏

Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia), akiwa na kijana Mariam Mrisho (wa pili kulia) aliyewezeshwa na Airtel Fursa-Tunakuwezesha vifaa mbalimbali na jokufu kwa ajili ya kumsaidia katika biashara yake ya mama lishe na kutengeneza vitafunwa na juisi Dar es Salaam jana. Wa tatu kushoto ni mama wa Mariam Mrisho, Amina Lugome. Wengine ni ndugu zake Mrisho. Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa...

 

11 years ago

GPL

HUYU NDIYE MUHIDIN ‘MAALIM’ GURUMO

Mwanamuziki mkongwe nchini, Muhidin 'Maalim' Gurumo enzi za uhai wake. JUZI tasnia ya muziki nchini ilipata pigo kufuatia kuondokewa na mwanamuziki wake mkongwe na mahiri, Muhidin ‘Maalim’ Gurumo ambaye alifariki dunia saa 9 alasiri kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Wadi ya Mwaisela alikokuwa amelazwa.…

 

11 years ago

GPL

SHINDANO LA MAMA MJASIRIAMALI BORA WA MWAKA 2013-2014 YAZINDULIWA

Kwa mara ya kwanza nchini, shindano la mama mjasiriamali bora wa mwaka 2013-2014 limezinduliwa rasmi jana katika ukumbi wa Hoteli ya Johannesburg iliyopo maeneo ya Sinza Mori jijini Dar. Shindano hilo lililodhaminiwa na Global Publishers ltd, K-finance limited na Tazama Intertainment, limewajumuisha akina mama wajasiriamali wajane wapatao 17 kutoka sehemu mbalimbali jijini hapa ambapo watafundishwa mbinu za ujasiriamali na...

 

11 years ago

Michuzi

NANI KUIBUKA NA MILIONI 20 KATIKA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014?



Wafuatao ni washiriki wa mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania ambao sasa wapo kijijini Maisha Plus wakiwania zawadi ya vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tzshs. Milioni 20.
MS 01: Elinuru M. Pallangyo - Arusha MS 02: Dorothy D. Pallangyo - Arusha MS 03: Leah D. Mnyambugwe - Dodoma MS 06: Martina G. Chitete - Iringa MS 08: Grace G. Mahumbuka - Kagera MS 10: Zinaida J. Kijeri - Kigoma MS 11: Upendo M. Msuya - Kilimanjaro MS 12: Neema U. Kivugo -...

 

11 years ago

Michuzi

WASHINDI WA MAISHA PLUS NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 WAPATIKANA NA KUONDOKA NA MILIONI 50

Bahati Muriga mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Tzshs. Milioni 25 aliyoshinda kwa ajili ya vifaa vya kilimo. Kutoka kulia ni Babu wa kijiji, Epheta Msiga wa DMB na Mkamiti Mgawe kutoka Oxfam. Mshiriki Boniphace Meng'anyi Nyakena akipokea mfano wa hundi ya Tzshs. Milioni 25 alizoshinda katika msimu huu. Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Jane Foster, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kuyandabila, Babu...

 

11 years ago

GPL

SHINDANO LA MAMA MJASIRIAMALI BORA WA MWAKA 2013-2014 YAZINDULIWA LEO

Wadhamini na wandaaji wa shindano hilo katika picha ya pamoja ( kutoka kulia ni Afisa Masoko kutoka Global Publishers, Innocent Mafuru; katikati ni Mkurugenzi wa Tazama Intertainment ambao ndiyo waandaji wa shindano hilo, Maureen Manyele na kushoto ni Oscar Bwanakunu, Marketing Manager wa K- finance Limited). Baadhi ya washiriki wa shindano la mama mjasiriamali bora wakisikiliza kwa… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Hatimaye washindi wa Maisha Plus na Mama Shujaa wa Chakula 2014 wapatikana na kuondoka na Milioni 50

10268513_757703050918683_8268843824020390942_n

Bahati Muriga mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Tzshs. Milioni 25 aliyoshinda kwa ajili ya vifaa vya kilimo. Kutoka kulia ni Babu wa kijiji, Epheta Msiga wa DMB na Mkamiti Mgawe kutoka Oxfam.

10363668_513706802084613_3389523174439884372_n

Mshiriki Boniphace Meng’anyi Nyakena akipokea mfano wa hundi ya Tzshs. Milioni 25 alizoshinda katika msimu huu. Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Jane Foster, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kuyandabila, Babu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani