Eric David Nampesya azipa tabu Tumba
Mwandishi wa BBC Eric David Nampesya afichua kipaji kilichojificha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/0a_JeubrWUU/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/XiG5rcTmWjc/default.jpg)
11 years ago
Habarileo17 Jun
Makamu wa Rais azipa changamoto nchi za G77
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ametaka nchi wanachama wa G77+China, kuhakikisha zinaboresha kilimo ili ziwe na hifadhi ya kutosha ya chakula kwa wananchi wake.
9 years ago
Bongo528 Sep
Video: Producer Swizz Beatz wa Marekani azipa shavu ngoma mbili za Diamond
Producer mkongwe aliyewaingiza kwenye ramani ya muziki rappers maarufu wakiwemo EVE na DMX, Kasseem Dean maarufu kama Swizz Beatz wa nchini Marekani, ni shabiki wa nyimbo za Diamond Platnumz. Producer huyo ambaye pia ni rapper na mume wa Alicia Keys, jana aliendelea kuonesha mapenzi yake kwa muziki wa Afrika kwa kupost video za mwanae pekee […]
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3Fn7_JBEUlE/VG5txFJ6wPI/AAAAAAAAYtY/TxQximhPKmo/s72-c/IMG-20141121-WA0000.jpg)
MBUNGE WA CHALINZE RIDHWANI KIKWETE AZIPA BAISKELI OFISI 221 ZA CCM JIMBONI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-3Fn7_JBEUlE/VG5txFJ6wPI/AAAAAAAAYtY/TxQximhPKmo/s640/IMG-20141121-WA0000.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lR8cjBnSJfw/VG5tyMXIA-I/AAAAAAAAYtg/fHmXOFrrEZQ/s640/IMG-20141121-WA0001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5jULbThCOs0/VG5t07cQ4pI/AAAAAAAAYto/s73r9s9e-hI/s640/IMG-20141121-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b4fYx7Vuuik/VG5t8Y67yII/AAAAAAAAYt0/BszyC14_Y8I/s640/IMG-20141121-WA0004.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7Kho2heEVMIHj5ralzv8bKMiUDDuTxPhr*RDlrYh7AGIsQJ2JLxdwr1ehm6jWIw2c2z8bwPrKAGtu*FRc0jeCXuR/LOWASSA2.jpg?width=650)
UCHAGUZI 2015, NI MWAKA WA TABU
Mgombea urais wa Ukawa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa. Na Mwandishi Wetu NDIYO lugha nyepesi kutamkika katika kipindi hiki ambacho nchi iko kwenye safari ya kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Vyama vikubwa ni viwili, Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliomsimamisha Dk. John Magufuli na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliomsimamisha Edward Lowassa. Mgombea urais...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHuv1RIw9Qo7jq6RCd4iFhPlOI3xy9rqpYjEb*UN7de5zW0DqIKj424Wf3kDZQ8zouSY8gKaZ-DDNqHfuBv6E*28/LOGA22.jpg?width=650)
Loga: Nitasajili Wakenya, Wabongo ni tabu
Kocha Mkuu wa Simba, Mcrotia Zdravko Logarusic akiwa na wachezaji wake. Na Nicodemus Jonas
KOCHA Mkuu wa Simba, Mcrotia Zdravko Logarusic, amesema iwapo ataendelea kukinoa kikosi hicho msimu ujao, ndoto ya usajili wake ni kuchota nyota kutoka Ligi Kuu ya Kenya, kwani kuna wachezaji wenye uwezo mzuri na wenye kuendana na weledi wa kisoka (professionalism). Loga ambaye aliwahi kufundisha soka nchini humo akiwa na Klabu ya Gor...
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Tabu Ley: Mfalme wa Rhumba aliyeacha watoto 68
Kama kuna mwanamuziki ambaye ameacha historia ya pekee katika maisha yake, si mwingine ni Pascal-Emmanuel Sinamoyi au Tabu Ley (76) kama anavyojulikana na wengi
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Gwiji wa Rumba Tabu Ley azikwa Kinshasa
Shughuli ya mazishi ya marehemu Tabu Ley Rochereau gwiji wa Rumba Afrika, inaendelea mjini Kinshasa katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania