Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Loga: Nitasajili Wakenya, Wabongo ni tabu

Kocha Mkuu wa Simba, Mcrotia Zdravko Logarusic akiwa na wachezaji wake. Na Nicodemus Jonas
KOCHA Mkuu wa Simba, Mcrotia Zdravko Logarusic, amesema iwapo ataendelea kukinoa kikosi hicho msimu ujao, ndoto ya usajili wake ni kuchota nyota kutoka Ligi Kuu ya Kenya, kwani kuna wachezaji wenye uwezo mzuri na wenye kuendana na weledi wa kisoka (professionalism). Loga ambaye aliwahi kufundisha soka nchini humo akiwa na Klabu ya Gor...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Loga: Nitasajili Wazungu

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Hans Mloli
MCHAKAMCHAKA wa kuhakikisha Simba inafanya vema msimu ujao na kurudisha hadhi ya timu hiyo ambayo imekuwa ikiyumba, mpango wa kuongeza wachezaji wenye kiwango cha juu unafanyika ambapo kuna mpango wa kusajili wachezaji kutoka nchini Croatia. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Croatia amesema yupo kwenye maandalizi ya usajili...

 

9 years ago

GPL

UCHAGUZI 2015, NI MWAKA WA TABU

Mgombea urais wa Ukawa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa. Na Mwandishi Wetu NDIYO lugha nyepesi kutamkika katika kipindi hiki ambacho nchi iko kwenye safari ya kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Vyama vikubwa ni viwili, Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliomsimamisha Dk. John Magufuli na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliomsimamisha Edward Lowassa. Mgombea urais...

 

11 years ago

BBCSwahili

Eric David Nampesya azipa tabu Tumba

Mwandishi wa BBC Eric David Nampesya afichua kipaji kilichojificha

 

11 years ago

Mwananchi

Tabu Ley: Mfalme wa Rhumba aliyeacha watoto 68

Kama kuna mwanamuziki ambaye ameacha historia ya pekee katika maisha yake, si mwingine ni Pascal-Emmanuel Sinamoyi au Tabu Ley (76) kama anavyojulikana na wengi

 

11 years ago

BBCSwahili

Gwiji wa Rumba Tabu Ley azikwa Kinshasa

Shughuli ya mazishi ya marehemu Tabu Ley Rochereau gwiji wa Rumba Afrika, inaendelea mjini Kinshasa katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo

 

10 years ago

Africanjam.Com

KASI YA BRUCE LEE ILIVYOWAPA TABU WATENGENEZA FILAMU

Muigizaji wa zamani ambaye pia alikua mmoja kati ya watu walioumudu vizuri mchezo wa kung fu marehemu Bruce Lee ambaye alifariki 20th July. 1973 alikua na kitu zaidi cha kipekee ambacho wengi hawakifahamu. Bruce Lee alikua anauwezo wa kupigana kwa kasi sana kiasi cha kufanya watengeneza filamu kulazimika kuweka slow motion kwenye baadhi ya sehemu za filamu ili mtazamaji aweze kuona kitu kilichofanyika.


Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports,...

 

10 years ago

GPL

SIFA YA WABONGO UONGO!

Wabongo bwana hahahahahahaha Wabongo kiboko. Kwa wale ambao wanasoma hii ishu na hawajawahi kuja Bongo nawataarifu kuwa mnapohangaika kutafuta viza za kuwaruhusu kuja Bongo, mjitayarishe kabisa kuwa  Wabongo ni binadamu wa aina nyingine kabisa hapa duniani. Wana sifa mbili kubwa, kwanza wanapenda sana kudanganywa na pili asilimia kubwa ni waongo wa kutupwa, siyo kwamba walizaliwa hivyo, hapana lakini wanalelewa na kutengenezwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani