Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE WA CHALINZE RIDHWANI KIKWETE AZIPA BAISKELI OFISI 221 ZA CCM JIMBONI KWAKE

Mjumbe wa Halamashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) na Mbunge wa Jimbo la Chalinze lililopo Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, Ridhiwan Kikwete amefanya ziara Jimboni kwake na kugawa Baiskeli 221 kwaajili matawi yote ya CCM jimboni humo kusaidia shughukli za uchaguzi Serikali za Mitaa na Vijiji.Baiskeli hizo ziligawiwa kwa Makatibu wa Vyama kutoka ofisi hizo za CCM.Katibu wa Mbunge wa Chalinze, akiwa na baadhi ya Makatibu wa Matawi ya CCM.Katibu wa Mbunge akiwa na mtaalam wa uchimbaji...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA CHALINZE MHE. RIDHIWANI KIKWETE ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MVUA JIMBONI KWAKE

 Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze Bw. Idd Swala (mwenye kanzu), ambaye alimwakilisha mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Ridhiwani Kikwete akikabidhi kwa  wakaazi wa Chalinze misaada ya chakula baada ya  nyumba zao kuharibiwa vibaya kutokana  na mvua kubwa iliyonyesha hivi karibuni.

 

10 years ago

Michuzi

Mhe Ridhiwani Kikwete aendelea na zaiara yake jimboni kwake Chalinze

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akihutubia wananchi mjini Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo, Pwani,  ambapo pamoja na kuwashuru kwa kumchagua, pia alisema atatumia unasheria wake kuwasaidia wakazi wa jimbo hilo wanaonyimwa haki zao za msingi ikiwemo kuporwa ardhi. Ridhiwani akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo uliofanyika katika Uwanja wa Masoko mjini Chalinze  Mkazi wa Chalinze, Bibi akitoa malalamiko yake mbele ya Mbunge Ridhiwani Kikwete ya kudhulumiwa shamba lake na watu...

 

11 years ago

CloudsFM

MBUNGE MGIMWA ATUMIA USAFIRI WA BAISKELI KUWAFIKIA WAPIGA KURA WAKE JIMBONI

MBUNGE wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa amevunja rekodi ya wabunge wa jimbo hilo na majimbo mengine ya mkoa wa Iringa na Tanzania kwa kuachana na matumizi ya magari ya kifahari na kuamua kutumia usafiri wa Baiskeli kuwatembelea wapiga kura wake.Mbunge huyo alifikia hatua hiyo leo baada ya mmoja kati ya magari yake mawilio yaliyokuwa katika msafara wake kukwama kulazimika kutumia usafiri huo wakati wa ziara yake ya siku mbili ya kuwatembelea wapiga kura wake na kupokea changamoto mbali...

 

11 years ago

Michuzi

mbunge wa kalenga mhe godfrey mgimwa atembelea wapiga kura jimboni kwa baiskeli

Mbunge  wa  jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa akiwa katika usafiri wa Baiskeli akienda kutembelea wapiga kura wake kata ya Ifunda eneo la Kivalali  Wananchi wa Kivalali kata ya Ifunda  wakijiandaa kupeana mikono na mbunge Mgimwa  Mbunge Mgimwa akisalimiana na wanakikundi cha burudani Kivalali kata ya Ifunda

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE KINGU ATOA MISAADA MBALIMBALI JIMBONI KWAKE


Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo vifaa mbalimbali kwa ajili ya kupambana na Virusi vya Corona Wilayani humo jana. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo, Mika Likapakapa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo, Justice Kijazi.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akimshukuru Kingu baada ya kupokea msaada huo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo,...

 

9 years ago

Global Publishers

Mbunge wa Kinondoni Atinga Kortini Kupinga Bomoabomoa Jimboni Kwake

mtuliaMbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia. Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia amewasilisha mahakamani shauri la kupinga zoezi la ‘bomoabomoa’ linaloendelea jijini Dar es Salaam. Shauri hilo lenye uwakilishi wa wananchi nane linasikilizwa leo (Januari 4) katika mahakama Kuu kitengo cha Ardhi. BOMOA (11) Kwa mujibu wa Mtulia, Shauri hilo lilifunguliwa mahakamani hapo Desemba 22 na kupata faili rasmi Desemba 28 mwaka jana. Katika shauri hilo, walalamikaji wanaiomba mahakama kuamuru...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Mkuranga amwaga msaada kwa wajasiriamali jimboni kwake

1

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani,  Shabani Mandai,(katikati) akishuhudia vijana wake wakiunganisha cherahani, baada ya kupokea msaada wa cherahani 20 kwa ajili ya wajasiliamali na vifaa vya michezo kwa uongozi wa UVCCM Mkuranga.

2 (1)

Mwakilishi wa Mbunge wa Mkuranga ,Omary Kisigalile (kushoto)akimkabidhi mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mkulanga, Shabani Mandai (kulia) Cherehani 20 zilizotolewa na Mbunge wa jimbo hilo kwa ajili ya Vikundi vya...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE JOSHUA NASSARI KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE

Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Meru Dr Paul Akyoo akifanya maombi kwa Bw Joshua Nassari ,Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki na Bi Anande Nnko wanaotarajia kufunga ndoa Jumamosi hii. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akimwimbia mchumba wake Bi Anande Nnko wakati wa sherehe ya Send off iliyofanyika nyumbani kwao na Bi Harusi Mtarajiwa ,Meru. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akiwa amekumbatiana na Mchumba wake Bi Anande Nnko muda mfupi baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa Mvomero,Mh. Amos Makalla atumia bodaboda kufanya ziara jimboni kwake

Mbunge wa Jimbo la Mvomero na Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla jana alifanya ziara katika Jimbo lake hilo kwa kutumia usafiri wa pikipiki kufika kitongoji cha Ifumbo kilicho kilomita 20 toka kijiji cha Mvomero ambacho kwa historia hakijawahi kufikiwa na kiongozi yeyote tangu uhuru.
Mbunge huyo ambaye amesifika na kuweka rekodi ya kutembelea vijiji vyote 130 vya Jimbo lake hilo,aliona umuhimu kuwafikia wananchi na wana CCM wa Ifumbo kwa njia ya pikipiki ili ajionee changamoto na kuchukua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani