ESHE BUHETI: NAMVALIA KHANGA MOKO MUME WANGU TU
![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zY1cp5RVP*w-YrwMgLpn9r4Y5crPknm9zpgIXKBewDN6kj9NVqARnyYMskTsMifv8X0fy0YH9ZeBf8Up1xIcsDj/5.gif)
Katika safu hii wiki hii tunaye mwanadada anayeyaendesha maisha yake kwa kuuza sura kwenye filamu Bongo. Huyu si mwingine bali ni Eshe Buheti. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Eshe Buheti. Kama ilivyo ada naye aliwekwa mtukati na mwandishi wetu Imelda Mtema na kuulizwa maswali ambayo alitoa ushirikiano katika kuyajibu.Ijumaa: Unaonekana kutoandamwa na skendo kama inavyokuwa kwa mastaa wengine, hii inatokana na nini? Eshe:...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljxKJ0lI6GUO*H8Whz-sQyz7Rr2KD5jipIpUTSeo5lekD5Zbc*94eTWDuN-ZGPwOwL1zj9B9DeNjiRrJkfG6htkS/SAM_5951.jpg?width=650)
KHANGA MOKO NUSURA ABAKWE CHOONI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNTH4yfWvQDCZycdWw7QNfZ1z-ciqF8rzlbrkcUGI*Mtl2PqLif8KSQc297MmWW4NSo2BsrzWttlljlWMgMkFbev/mnenguaji.jpg)
UNDANI MNENGUAJI WA KHANGA MOKO ALIYEPIGWA RISASI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlkFoOtGIWi2WTrC-EbDaDZYf*VnfC038oJEfTUjJ4xVMbqPr7bAhphV222lSS034ADfWSENkyYLtK79hQri4oY/wananitesa.jpg)
MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyMu9OStupI-oHOEXcHngty*imrl6z0HZWHbkdt7RA-oC6knxzsVWLdJlWcuHdcC6SGlDng3eQ2oY7iUXn94ifz/DIVA.jpg?width=650)
DIVA: ZITTO NI MUME WANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGP9-7cwesnxrokm3yl3TcMgtAT86eCl2XaHIkLV2GfPmi4f0XnLrn5CaGkQGjhNAhiPEweGRIP87BiBcRZ5Jlm/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA: MSIMSOGELEE MUME WANGU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVGAQKXNOuPF0D7VJvzjYn5JGM4F-Hy6uQQNWU84j9ScNvsZLHEm34wNqrjAdygZ9NBPNNDmqT53zWYFx3qshgvY/2.jpg?width=650)
SHAMSA: SIJAACHANA NA MUME WANGU
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Shamsa: Sijutii Kuachana na Mume Wangu
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Shamsa Ford amesema kamwe hatajutia kitendo cha kuachana na mumewe, Dickson.
Akiongea na gazeti la Amani Shamsa alisema kuwa kipindi chote wakati yupo kwenye uhusiano na mumewe huyo waliefunga naye ndo ya kimilia alikuwa akiteseka na kupata shuruba nyingi japo hakuwa tayari kuziweka hadharani.
“Sijutii kuachana na mume wangu, nimepitia mateso mengi, sikotayari kurudi japokuwa nina motto naye” Shamsa alisema.
Kwa sasa inadaiwa Shamsa anatoka na Staa wa...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Mume Wangu Anaishi Mara ya Pili – 5
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Nilianza kusali sala zote ninazozijua mimi huku nikiendelea kuangalia nje kwa ujasiri wa hali ya juu.
“Hujambo mama Kisu?” nilisalimiwa na mtu kutoka kushoto kwangu kwenye siti niliyokaa. Nikashtuka sana.
ENDELEA MWENYEWE SASA…
Niligeuka kumwangalia, nikamwona mwanaume mmoja, sura yake si ngeni hata kidogo lakini sikukumbuka nilimwonea wapi!
“Sijambo, mzima wewe?” nilimjibu.
“Mimi mzima, sijui wewe?”
“Hata mimi pia sijambo. Unatoka wapi, unakwenda wapi?”...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
‘Nilimshuhudia mume wangu akimbaka mwanangu’