Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHANGA MOKO NUSURA ABAKWE CHOONI

KAMA kawa kama dawa, ni Ijumaa nyingine ambayo mapaparazi wetu wanaotii amri za Mkuu wao walijiachia viwanja mbalimbali kusaka matukio na kuwasiliana moja kwa moja na Mkuu wao aliyekuwa makao makuu ya ofisi za gazeti hili zilizopo Bamaga Mwenge jijini Dar es Salaam. Kikosi cha mapaparazi hao ni Musa Mateja ‘Toz’, Issa Mnally ‘Mzee wa GX100’, Dustan Shekidele ‘Mkude Simba’ na Mpigapicha Mkuu,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UNDANI MNENGUAJI WA KHANGA MOKO ALIYEPIGWA RISASI

Stori: Shakoor Jongo na Emelda Tarimo MNENGUAJI wa Kundi la Kanga Moko, Zawia Hamis  ambaye usiku wa Jumatano iliyopita alipigwa risasi mbili mwilini  na mtu aliyedaiwa ni askari polisi, ameweka undani wa sakata hilo. Mnenguaji wa Kundi la Kanga Moko, Zawia Hamis akionyesha sehemu alikopigwa risasi mbili mwilini na mtu aliyedaiwa ni askari polisi. Akizungumza na… ...

 

11 years ago

GPL

MREMBO NUSURA ABAKWE

Mrembo aliyevaa kivazi cha ajabu kilichoacha wazi sehemu zake nyeti akisaidiwa na wasamaria wema baada ya kuvaa khanga. Stori:  Issa Mnally na Richard Bukos
MREMBO wa haja ambaye jina halikupatikana amenusurika kubakwa na wanaume baada ya kuvaa kivazi kilichoacha wazi sehemu kubwa ya maungo yake nyeti.…

 

10 years ago

GPL

ESHE BUHETI: NAMVALIA KHANGA MOKO MUME WANGU TU

Katika safu hii wiki hii tunaye mwanadada anayeyaendesha maisha yake kwa kuuza sura kwenye filamu Bongo. Huyu si mwingine bali ni Eshe Buheti. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Eshe Buheti. Kama ilivyo ada naye aliwekwa mtukati na mwandishi wetu Imelda Mtema na kuulizwa maswali ambayo alitoa ushirikiano katika kuyajibu.Ijumaa: Unaonekana kutoandamwa na skendo kama inavyokuwa kwa mastaa wengine, hii inatokana na nini? Eshe:...

 

10 years ago

GPL

BINTI NUSURA ABAKWE, AKATWA MAPANGA

SHANI RAMADHANI KHAA! Binti aliyejitambulisha kwa jina la Elizabeth Sombe (13), mkazi wa Mafinga mkoani Iringa ambaye alikuja jijini Dar kwa ajili ya kufanya kazi za ndani, amelazwa katika Hospitali ya Taifa  Muhimbili (MNH) wodi ya Mwaisela namba mbili, Dar baada ya kucharangwa mapanga na kundi la vijana kufuatia kukataa kubakwa. Elizabeth Sombe anayedaiwa kunusurika kubakwa. Akizungumza na Amani juzi, Elizabeth alisema...

 

10 years ago

GPL

UBAKAJI! BAUNSA AMSULUBU MSANII, NUSURA ABAKWE!

Ubakaji! Msanii wa muziki wa Kizazi Kipya kutoka Kundi la Fagio la Chuma ambaye pia aliwahi kuitumikia B-Band chini ya Banana Zorro, Hafsa Ally, amesulubiwa kisha kunusurika kubakwa na baunsa aliyemtaja kwa jina moja la Mahamoud. Msanii wa muziki wa Kizazi Kipya kutoka Kundi la Fagio la Chuma, Hafsa Ally akielezea mkasa uliomsibu kwa waandishi wa Global. Akizungumza na gazeti hili wikiendi iliyopita, Hafsa alisema tukio hilo...

 

10 years ago

GPL

BABY MADAHA NUSU ABAKWE

Na GLADNESS MALLYA MSANII wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Baby Joseph Madaha amenusurika kubakwa nchini Kenya baada ya kupanda jukwaani akiwa ametinga kivazi cha nusu utupu. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Baby Joseph Madaha akipozi. Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika mji wa Naivasha uliopo Nairobi nchini humo ambapo mwanadada huyo alipopanda jukwaani akiwa amevaa sketi fupi iliyokuwa imeacha sehemu kubwa...

 

10 years ago

Bongo5

Video: O-Key Ghettochild — Moko

Hii ni video ya ngoma ya rapper aitwaye O-Key Ghettochild inaitwa ‘Moko’. Kama unapenda hip hop utailewa sana.

 

10 years ago

GPL

KANGA MOKO KAMA KAWA

Stori:  Erick Evarist na Musa Mateja
MIEZI michache kufuatia tamko la serikali  kuzuia ngoma zinazokesha maarafu kama Kanga Moko kwa kukiuka maadili, imebainika kuwa ngoma hizo zinaendelea kufanya mambo kama kawa kana kwamba hazijakatazwa, Ijumaa limeshuhudia. Baadhi ya wadada wakicheza ngoma ya kibao kata wakiwa ndani ya kanga moja. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzikati umebaini kuwa ngoma hizo ambazo wanawake...

 

11 years ago

Habarileo

Alama za 'moko' kutumika mtihani wa taifa

MATOKEO ya Mtihani wa Majaribio (Mock) kwa mtihani wa Kidato cha Nne mwaka huu na Kidato cha Sita mwakani, yatachangia alama 10 za Alama Edelevu (CA). Kwa utaratibu huu, matokeo ya mwisho ya mtahiniwa, yatatokana na asilimia 30 ya Alama Endelevu na asilimia 70 ni mchango wa Alama za Mtihani wa Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani