Essebsi ajitangaza kushinda Tunisia
Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais nchini Tunisia yanaonesha kuwa Beji Caid Essebsi anaongoza kwa zaidi ya asilimia 55 ya kura
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC
Tunisia's Essebsi: The 88-year-old comeback kid
10 years ago
BBC
Essebsi wins Tunisia president vote
11 years ago
BBCSwahili11 May
Mchezaji wa NFL ajitangaza kuwa shoga
11 years ago
BBCSwahili31 Oct
Jen.Traore ajitangaza rais Burkina Faso
9 years ago
StarTV16 Dec
 Mwamuzi Nba  Billy Kennedy  ajitangaza kuwa ni shoga.
Mwamuzi mkongwe wa ligi ya mpira wa Kikapu nchini Marekani NBA Billy Kennedy amefafanua na kuweka wazi kuwa yeye ni shoga baada ya kuweka wazi katika mada ya matusi ya mapenzi ya jinsia moja
Kanisa moja nchini Marekani lilimkabili Mwamuzi huyo kuweza kutoa mameno hayo kupitia kampuni ya ulinzi ya Rajon
Kennedy alitoa maelezo hayo wakati wa mchezo kati ya wafalme na Celtcs Boston katika nchini Mexico Desemba 3 Mwaka huu ambapo alisema kuwa anaona ufahali wa kuchezesha ligi ya NBA ya...
9 years ago
Raia Mwema03 Nov
Sishangai Magufuli kushinda
NIANZE makala hii kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuiwezesha Tanzania yetu kufika salama siku y
Evarist Chahali
10 years ago
Mtanzania14 Sep
Hatuwezi kushinda hivihivi
NA WAANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua kampeni za urais Zanzibar huku mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, akisema hawawezi kushinda bila kujipanga vyema.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibandamaiti mjini Unguja jana.
“Hatuwezi kushinda hivi hivi, ni lazima tujipange vizuri, uchaguzi wa mwaka huu ni man to man (mtu na mtu)
“Lazima umjue mtu wako vizuri, umkabe ipasavyo, uombe kura na uipate. Uchaguzi huu pia ni kiambo kwa kiambo, nyumba kwa...
10 years ago
Habarileo30 Aug
Mabondia watamba kushinda
KUNDI la kwanza la timu ya Tanzania itakayoshiriki Michezo ya 11 ya Mataifa ya Afrika linaondoka leo kwenda Brazzaville, Congo huku timu ya ngumi ikitamba kufanya vizuri katika michezo hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Dk. Daftari apongezwa kushinda rufani
HATUA ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Maua Daftari, kushinda rufani ya kesi ya utapeli iliyokuwa ikimkabili, imeelezwa kurejesha heshima na hadhi ya...