Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EU kutoa mabilioni kwa Afrika kupunguza wahamiaji

Viongozi wa Muungano wa Ulaya wanatarajiwa kutoa mabilioni ya euro kwa mataifa ya Afrika kuyawezesha kusaidia kupunguza mzozo wa wahamiaji Ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ahadi ya mabilioni ya dola kwa Afrika

Rais wa Makani Barack Obama ametangaza ahadi ya msaada wa kifedha kwa mataifa ya Afrika Marekani

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina kuahidi mabilioni zaidi kwa Afrika

Kongamano kuu kati ya nchi za Afrika na Uchina linafunguliwa leo mjini Johannesburg kukiwa na matarajio kwamba Uchina itaahidi usaidizi zaidi kwa bara Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yakana kutoa hongo kwa FIFA

Afrika kusini imekana kwa mara nyengine tena kwamba ilitoa hongo ili kupewa maandalizi ya kombe la dunia la mwaka 2010.

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron kutoa msimamo kuhusu wahamiaji

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anatarajiwa kutangaza mipango baadae ya kuongeza idadi ya Wakimbizi kuingia nchini humo

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania nchi ya pili Afrika kutoa leseni kwa mtandao

TANZANIA inatarajia kuwa nchi ya pili Afrika itakayokuwa ikitoa leseni za uchimbaji madini kwa njia ya mtandao. Kamishina wa Madini Tanzania, Paul Masanja alisema wanasubiri Sheria ya Madini ifanyiwe marekebisho na Bunge kuruhusu utolewaji wa leseni hizo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wanufaika Afrika Kusini

Miongoni mwa walionufaika kwa ukombozi wa Afrika Kusini ni wahamiaji wa kutoka nchi zingine za Afrika, ambao kwa sasa wameongezeka

 

5 years ago

Michuzi

WATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Salum Manyata  amewahasa wataalamu wa kutoa dawa za usingizi nchini kuwa wana jukumu kubwa la kuboresha utoaji wa huduma wa dawa za usingizi kwa kina mama wajawazito wakati wa upasuaji ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza wakati wa utoaji huduma hiyo.

Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Chuki dhidi ya wahamiaji Afrika Kusini

Chuki dhidi ya wahamiaji kutoka nchi zingine linaendelea kukita mizizi nchini Afrika Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

BBC yabaini ongezeko la wahamiaji Afrika

BBC imebaini kuwa Kumekuwa na ongezeko kubwa la idadi ya wahamiaji wanaofika ulaya katika miezi ya hivi karibuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani