Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BBC yabaini ongezeko la wahamiaji Afrika

BBC imebaini kuwa Kumekuwa na ongezeko kubwa la idadi ya wahamiaji wanaofika ulaya katika miezi ya hivi karibuni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani na ongezeko la wahamiaji

Serikali ya Ujerumani imetangaza hatua kadhaa zitakazotumiwa kuisaidia kukabiliana na ongezeko la wahamiaji

 

10 years ago

Habarileo

‘Kuna ongezeko la wahamiaji haramu nchi za Maziwa Makuu’

LICHA ya kuendeshwa kwa Operesheni Kimbunga ili kuondoa wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi nchini isivyo halali, imebainika kuwa kumekuwa na ongezeko kubwa la wahamiaji haramu kutoka nchi za Maziwa Makuu baada ya wengi wa walioondolewa katika operesheni hiyo kurejea nchini kimya kimya bila ya kukamilisha taratibu za kuishi nchini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: BBC Africa Eye yabaini jinsi corona inavyoathiri maisha Sierra Leone

Sierra Leone iliathiriwa vibaya na Ebola ilipoyakumba mataifa ya Magharibi mwa Afrika, na sasa Covid-19. Video hii ya BBC Africa Eye, inaangazia athari za corona.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wanufaika Afrika Kusini

Miongoni mwa walionufaika kwa ukombozi wa Afrika Kusini ni wahamiaji wa kutoka nchi zingine za Afrika, ambao kwa sasa wameongezeka

 

11 years ago

BBCSwahili

Chuki dhidi ya wahamiaji Afrika Kusini

Chuki dhidi ya wahamiaji kutoka nchi zingine linaendelea kukita mizizi nchini Afrika Kusini

 

9 years ago

BBCSwahili

EU kutoa mabilioni kwa Afrika kupunguza wahamiaji

Viongozi wa Muungano wa Ulaya wanatarajiwa kutoa mabilioni ya euro kwa mataifa ya Afrika kuyawezesha kusaidia kupunguza mzozo wa wahamiaji Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC YAIMARISHA HABARI ZA AFRIKA

-Idhaa ya BBC inaimarisha uandishi wa habari za Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Brahimi nyota wa BBC Afrika 2014

Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika BBC mwaka huu amepatikana. Baada ya maelfu ya kura kuhesabiwa, mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi ndiye mshindi wa mwaka huu.

 

10 years ago

Vijimambo

Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika-BBC

Mabingwa watetezi wa kombe la Afrika Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika mwaka 2015 huku Afrika kusini na Cameroon zikifuzu katika kinya'nganyiro hicho.

Afrika kusini iliichapa Sudan 2-1 katika mechi yao ya kwanza tangu kuuawa kwa mlinda lango wake Senzo Meyiwa ili kuongoza kundi la Da.

Zambia nayo iliinyamazisha Mozambique 1-0 mjini Moputo kufuzu na katika kundi Fa pamoja na viongozi wa kundi hilo Cape...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani