Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujerumani na ongezeko la wahamiaji

Serikali ya Ujerumani imetangaza hatua kadhaa zitakazotumiwa kuisaidia kukabiliana na ongezeko la wahamiaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

BBC yabaini ongezeko la wahamiaji Afrika

BBC imebaini kuwa Kumekuwa na ongezeko kubwa la idadi ya wahamiaji wanaofika ulaya katika miezi ya hivi karibuni.

 

10 years ago

Habarileo

‘Kuna ongezeko la wahamiaji haramu nchi za Maziwa Makuu’

LICHA ya kuendeshwa kwa Operesheni Kimbunga ili kuondoa wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi nchini isivyo halali, imebainika kuwa kumekuwa na ongezeko kubwa la wahamiaji haramu kutoka nchi za Maziwa Makuu baada ya wengi wa walioondolewa katika operesheni hiyo kurejea nchini kimya kimya bila ya kukamilisha taratibu za kuishi nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani:Wahamiaji ni Muhimu

Maafisa nchini Ujerumani wanasema wahamiaji wanaowasili kutoka nchini kama Syria watasaidia kujaza pengo la ukosefu wa wataalamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi wapokelewa Ujerumani

Wahamiaji zaidi wapokelewa na watu waliojitolea Ujerumani na Austria huku serikali yakutana kutafuta mkakati

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 1000 wawasili Ujerumani

Treni zinazobeba mamia ya wahamiaji zimewasili katika Ujerumani baada ya serikali ya Hungary kusitisha juhudi zake za kuwasajili

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Ujerumani kudhibiti mpaka wake

Ujerumani inatarajiwa kuanzisha vidhibiti vya mda katika mpaka wake na taifa la Austria ili kukabiliana na idadi kubwa ya wahamiaji kulingana na waziri wa maswala ya ndani nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kampuni ya Ujerumani yawapa wahamiaji ajira

Siemens, moja ya kampuni kubwa nchini Ujerumani, imejitenga na kampuni nyingine na kuamua kutoa ajira kwa wingi kwa vijana ambao wanawasili nchini humo kama wakimbizi.

 

11 years ago

GPL

ONGEZEKO LA WANAUME WAGUMBA

Wanaume wengi hapa nchini na nchi nyingi za Afrika bado hawafahamu kwamba tatizo la ugumba si kwa wanawake pekee bali wanaume pia hukumbwa na tatizo hili tena kwa asilimia sawa kabisa na wanawake.Tafiti za kitabibu zinaonesha kuwa matatizo ya ugumba huwakuta wanaume kwa asilimia 50 kama ambavyo 50% inayobaki huwa ni kwa wanawake. Kutofahamu huku kumekuwa mwiba mkali kwa wanawake pale inapotokea wanandoa wameishi zaidi ya mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ongezeko la wateja changamoto TUWASA

ONGEZEKO la bei ya matumizi ya maji ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Tukuyu (TUWASA) wilayani Rungwe, Mbeya lilisababisha mgogoro kati ya wateja na mamlaka. Kutokana na mgogoro huo, mamlaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani