Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni ya Ujerumani yawapa wahamiaji ajira

Siemens, moja ya kampuni kubwa nchini Ujerumani, imejitenga na kampuni nyingine na kuamua kutoa ajira kwa wingi kwa vijana ambao wanawasili nchini humo kama wakimbizi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani:Wahamiaji ni Muhimu

Maafisa nchini Ujerumani wanasema wahamiaji wanaowasili kutoka nchini kama Syria watasaidia kujaza pengo la ukosefu wa wataalamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani na ongezeko la wahamiaji

Serikali ya Ujerumani imetangaza hatua kadhaa zitakazotumiwa kuisaidia kukabiliana na ongezeko la wahamiaji

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 1000 wawasili Ujerumani

Treni zinazobeba mamia ya wahamiaji zimewasili katika Ujerumani baada ya serikali ya Hungary kusitisha juhudi zake za kuwasajili

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi wapokelewa Ujerumani

Wahamiaji zaidi wapokelewa na watu waliojitolea Ujerumani na Austria huku serikali yakutana kutafuta mkakati

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Ujerumani kudhibiti mpaka wake

Ujerumani inatarajiwa kuanzisha vidhibiti vya mda katika mpaka wake na taifa la Austria ili kukabiliana na idadi kubwa ya wahamiaji kulingana na waziri wa maswala ya ndani nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kampuni 51 zapata uwakala wa ajira

Wizara ya Kazi na Ajira imepokea maombi ya kampuni ya wakala wa huduma za ajira 87 kati ya hizo 51 zimepata usajili kwa kipindi cha mwaka mmoja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni yapongeza kupanua ajira Mwanza

MEYA wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, ameupongeza uongozi wa Kampuni ya Tanzania ya Chemicotex, inayotengeneza mafuta ya nywele na vipodozi vinavyotokana na tunda la parachichi, kwa jitihada zake za...

 

10 years ago

Habarileo

Kampuni ya simu yamwaga ajira 2,000

KAMPUNI ya simu ya Viettel ya Vietnam inayokua kwa kasi duniani ambayo sasa inahamishia nguvu zake katika soko la Tanzania, imetangaza ajira kwa wasomi wa Tanzania zaidi ya 2,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawakala, kampuni za ajira zapigwa ‘stop’

Serikali imetoa miezi miwili kwa mawakala binafsi wa huduma za ajira kuacha mara moja kuajiri na kukodisha wafanyakazi, vinginevyo sheria kali zitachukuliwa dhidi ya wahusika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani