Wahamiaji:Ujerumani kudhibiti mpaka wake
Ujerumani inatarajiwa kuanzisha vidhibiti vya mda katika mpaka wake na taifa la Austria ili kukabiliana na idadi kubwa ya wahamiaji kulingana na waziri wa maswala ya ndani nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
EU wajipanga kudhibiti wahamiaji
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
Ujerumani na ongezeko la wahamiaji
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Ujerumani:Wahamiaji ni Muhimu
10 years ago
Habarileo15 Aug
‘Mwanza inastahili boti kudhibiti wahamiaji haramu’
SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za kuusaidia Mkoa wa Mwanza kupata boti ili kukabiliana na wahamiaji haramu hususani wanaotumia usafiri wa maji kupitia Ziwa Victoria, badala ya kuendelea kufanya kazi kwa kutegemea boti ya polisi na wavuvi jambo ambalo linazorotesha utendaji wa kazi.
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Wahamiaji 1000 wawasili Ujerumani
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Wahamiaji zaidi wapokelewa Ujerumani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NoIQpzKYxCo/XlEVhZTT7qI/AAAAAAALe0Y/EBIEdlYA7EQufeEm1BBEfMP3tln1MJgLwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-2AA-4-1024x682.jpg)
SERIKALI KUDHIBITI WAHAMIAJI HARAMU WANAOTUMIA NJIA ZA TRENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NoIQpzKYxCo/XlEVhZTT7qI/AAAAAAALe0Y/EBIEdlYA7EQufeEm1BBEfMP3tln1MJgLwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-2AA-4-1024x682.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Barnabas Mwakalukwa,akitoa taarifa ya hali ya ulinzi na usalama kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani hapo leo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-3AA-4-1024x682.jpg)
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Mwandamizi,Mohamed Jihadi, akitoa taarifa ya idara yake kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani...
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Kampuni ya Ujerumani yawapa wahamiaji ajira
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mali haitafunga mpaka wake na Guinea