Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EU wajipanga kudhibiti wahamiaji

Jumuiya ya Ulaya EU imetangaza mkutano wa dharula wa Mawaziri wake wa Mambo ya nje wenye lengo la kujadili mbinu za kukabiliana na ongezeko la wahamiaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Moro wajipanga kudhibiti kipindupindu

MKUU wa mkoa wa Morogoro (RC), Dk Rajab Rutengwe, amewataka watendaji wa kata na mitaa katika halmashauri za mkoa huo kuhakikisha kila mmoja anawajibika ipasavyo kusimamia suala la usafi wa mazingira na kuzuia uuzaji holela wa vyakula na matunda.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Ujerumani kudhibiti mpaka wake

Ujerumani inatarajiwa kuanzisha vidhibiti vya mda katika mpaka wake na taifa la Austria ili kukabiliana na idadi kubwa ya wahamiaji kulingana na waziri wa maswala ya ndani nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Mwanza inastahili boti kudhibiti wahamiaji haramu’

SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za kuusaidia Mkoa wa Mwanza kupata boti ili kukabiliana na wahamiaji haramu hususani wanaotumia usafiri wa maji kupitia Ziwa Victoria, badala ya kuendelea kufanya kazi kwa kutegemea boti ya polisi na wavuvi jambo ambalo linazorotesha utendaji wa kazi.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUDHIBITI WAHAMIAJI HARAMU WANAOTUMIA NJIA ZA TRENI


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Barnabas Mwakalukwa,akitoa taarifa ya hali ya ulinzi na usalama kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani hapo leo
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Mwandamizi,Mohamed Jihadi, akitoa taarifa ya idara yake kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajipanga kupunguza vifo

Mkoa wa Mara umeanza kuchukua hatua mbalimbali za kupambana na ongezeko la vifo vya wanawake wajawazito na watoto wachanga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHAVITA wajipanga kuondoa utegemezi

CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Wilaya ya Kibaha Vijijini, mkoani Pwani, kimejipanga kuhakikisha jamii hiyo inajiunga kwenye vikundi mbalimbali kwa lengo la kuondokana na unyonge ilionao, ikiwa ni pamoja na...

 

11 years ago

Mwananchi

Australia wajipanga kuzoa medali

Australia wanatarajia kulinda medali zao tatu za dhahabu katika mashindano ya Jumuiya ya Madola wakati timu yao ya kuogelea ya wanaume ikianza jana kutetea katika mbio za mita 400 za mitindo huru.

 

11 years ago

Mwananchi

Wawekezaji Oman wajipanga kuwekeza

Zaidi ya wafanyabiashara 15 kutoka Oman wapo nchini kwa ajili ya kutafuta fursa ya kuwekeza katika sekta ya mifugo na chakula, lengo likiwa ni kuiwezesha nchi yao kujitosheleza kwa chakula.

 

10 years ago

Habarileo

CCM wajipanga kuuaga umasikini

IMEELEZWA kuwa endapo wanachama na viongozi wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) watalipa ada zao kwa asilimia 100 kitakuwa na uwezo wa kukusanya Sh bilioni 12 kwa mwezi na kuzidi ruzuku inayotolewa na serikali kwa vyama vya siasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani