CHAVITA wajipanga kuondoa utegemezi
CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Wilaya ya Kibaha Vijijini, mkoani Pwani, kimejipanga kuhakikisha jamii hiyo inajiunga kwenye vikundi mbalimbali kwa lengo la kuondokana na unyonge ilionao, ikiwa ni pamoja na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV02 Dec
Asasi za kirazia zasema Ubunifu wahitajika kuondoa utegemezi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Sihaba Nkinga amezitaka asasi za kiraia nchini kubuni na kuendesha miradi ya kimaendeleo badala ya kufanya kazi zake kwa kutegemea ufadhili kutoka nchi za nje hali ambayo inadaiwa kukwamisha miradi mingi.
Ameyasema hayo wakati akifungua Tamasha la 13 la asasi za kiraia linaloendelea kwa siku mbili jijini Dar es Salaam likilenga kuangalia wajibu wa asasi hizo katika utekelezaji wa malengo endelevu.
Pamoja na mambo mengine...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Chavita walia na ukosefu wa wataalam
CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) kimeiomba serikali kuwasaidia katika kutatua matatizo yanayowakabili ya ukosefu wa wataalamu wa lugha za alama inayowakabili kundi hilo. Hayo yalisemwa jana na Mwakilishi wa chama...
9 years ago
GPLCHAVITA KUADHIMISHA WIKI YA VIZIWI DUNIANI
5 years ago
MichuziFCS YATOA BARAKOA 5000 KWA CHAVITA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
KATIKA kuonesha ushiriki wa mapambano dhidi ya mlipuko wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19,) asasi ya kiraia ya Foundation for Civil Society (FCS) imeendelea kuonesha ushiriki huo kwa kutoa vifaa na ruzuku kwa makundi maalumu na watu wenye ulemavu ili kuendelea kuwaweka salama zaidi pamoja na kuzuia maambukizi zaidi.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi barakoa 5000 kwa Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Mkurugenzi...
9 years ago
MichuziCHAVITA YASIKITISHWA NA USHIRIKI MDOGO WA VIZIWI KATIKA UCHAGUZI MKUU
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Wasanii waepuke utegemezi
SASA naweza kukubaliana na matamshi ambayo yamekuwa yakitolewa na watu mbalimbali kwamba baadhi ya wasanii wetu hawajitambui. Hili linajidhihirisha baada ya wasanii wetu kuomba msaada hata mahali ambako hawastahili kusaidiwa...
10 years ago
Habarileo04 May
Wananchi migodini waonywa utegemezi
WANANCHI ambao wanazunguka maeneo ya uwekezaji wa migodi ya dhahabu, wameonywa kuacha kutegemea kampuni zinazochimba madini hayo kujiletea maendeleo.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Utegemezi umechangia kudhoofisha shilingi yetu
11 years ago
Habarileo04 Apr
Sumaye: Viongozi Afrika acheni utegemezi
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka viongozi wa Afrika, kuacha tabia ya kutegemea nchi tajiri, kugharimia mipango ya maendeleo zao. Badala yake, ametaka viongozi wawe wabunifu wa kuandaa mipango ya kuondoka kwenye utegemezi uliokithiri.