Asasi za kirazia zasema Ubunifu wahitajika kuondoa utegemezi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Sihaba Nkinga amezitaka asasi za kiraia nchini kubuni na kuendesha miradi ya kimaendeleo badala ya kufanya kazi zake kwa kutegemea ufadhili kutoka nchi za nje hali ambayo inadaiwa kukwamisha miradi mingi.
Ameyasema hayo wakati akifungua Tamasha la 13 la asasi za kiraia linaloendelea kwa siku mbili jijini Dar es Salaam likilenga kuangalia wajibu wa asasi hizo katika utekelezaji wa malengo endelevu.
Pamoja na mambo mengine...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
CHAVITA wajipanga kuondoa utegemezi
CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Wilaya ya Kibaha Vijijini, mkoani Pwani, kimejipanga kuhakikisha jamii hiyo inajiunga kwenye vikundi mbalimbali kwa lengo la kuondokana na unyonge ilionao, ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Vijimambo07 Jan
FAMILIA ZA WAFUNGWA WA UNGA CHINA ZASEMA

Dar es Salaam. Familia za baadhi ya wafungwa wa dawa za kulevya katika magereza ya China na Hong Kong zimepokea ujumbe wa ndugu zao kutoka magerezani na kueleza chuki yao dhidi ya wafanyabiashara waliowatumbukiza kwenye tatizo...
11 years ago
GPLSERIKALI ZA TANZANIA NA MALAWI ZASEMA HAZINA TOFAUTI JUU YA MPAKA WA ZIWA NYASA
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Msaada wa chakula wahitajika Ethiopia
9 years ago
Michuzi
MSAADA WAHITAJIKA KWA MAPACHA WALIOUNGANA

11 years ago
BBCSwahili07 Dec
Walinda amani zaidi wahitajika CAR
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Msaada wahitajika kwa Watoto Mapacha walioungana!
Pichani ni watoto Zahra na Zarina wamezaliwa pacha walioungana tarehe 16/11/15 mama yao Bi Tausi Hageze akiwa njiani kwenye boda boda akitokea kijiji cha Nyarurema Tarafa ya Rulenge Wilaya ya Ngara akielekea hopitali ya misheni Rulenge.
Alipopata uchungu wa kuzidi alimuomba bodaboda asimame akaweza kujifungua kwa shida mbele ya mumewe anaeitwa Hamdani hapo njiani.
Baada ya hapo wakapelekwa hospitali ya misheni Rulenge. Mama na watoto wako salama, kama unavyo ona katika picha...
10 years ago
MichuziUTASHI WA KISIASA WAHITAJIKA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs) YA 2016-2030
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Wasanii waepuke utegemezi
SASA naweza kukubaliana na matamshi ambayo yamekuwa yakitolewa na watu mbalimbali kwamba baadhi ya wasanii wetu hawajitambui. Hili linajidhihirisha baada ya wasanii wetu kuomba msaada hata mahali ambako hawastahili kusaidiwa...