Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii waepuke utegemezi

SASA naweza kukubaliana na matamshi ambayo yamekuwa yakitolewa na watu mbalimbali kwamba baadhi ya wasanii wetu hawajitambui. Hili linajidhihirisha baada ya wasanii wetu kuomba msaada hata mahali ambako hawastahili kusaidiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHAVITA wajipanga kuondoa utegemezi

CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Wilaya ya Kibaha Vijijini, mkoani Pwani, kimejipanga kuhakikisha jamii hiyo inajiunga kwenye vikundi mbalimbali kwa lengo la kuondokana na unyonge ilionao, ikiwa ni pamoja na...

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi migodini waonywa utegemezi

WANANCHI ambao wanazunguka maeneo ya uwekezaji wa migodi ya dhahabu, wameonywa kuacha kutegemea kampuni zinazochimba madini hayo kujiletea maendeleo.

 

11 years ago

Habarileo

Prof. Mwandosya aonya utegemezi wa vyeti

Profesa Mark MwandosyaWASOMI wengi nchini wameshindwa kujiajiri kutokana na kutojua kuwa elimu waliyonayo imewafungua akili ili waweze kufanya mambo yao wakiwa na uelewa mzuri hali inayowafanya kutegemea vyeti walivyonavyo.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ekolumo designer: Chuo kinachopambana na utegemezi

MWANAMKE ni nguzo muhimu katika familia za Kiafrika kutokana na kutumia muda mwingi kuangalia familia kuliko kina baba.

Hata hivyo, mbali ya umuhimu wake jamii bado haitoi nafasi kwa wanawake kushiriki shughuli nyingi za kijamii hasa ukuzaji uchumi; bado kuna familia zinazoamini mwanamke ni kiumbe wa kukaa nyumbani tu.

Wapo baadhi ya wanaume ambao mbali ya kutegemea wake zao kwa kila kitu bado wanasisitiza wanawake hawatoshi kumiliki mali za familia. Matokeo yake wanapochukua kipato...

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Viongozi Afrika acheni utegemezi

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka viongozi wa Afrika, kuacha tabia ya kutegemea nchi tajiri, kugharimia mipango ya maendeleo zao. Badala yake, ametaka viongozi wawe wabunifu wa kuandaa mipango ya kuondoka kwenye utegemezi uliokithiri.

 

10 years ago

Mwananchi

Utegemezi umechangia kudhoofisha shilingi yetu

Kwa vigezo vyovyote vile vya kimataifa, uchumi wetu bado unaonekana haupo salama. Hali iko hivyo licha ya kuwepo kwa utajiri mkubwa wa rasilimali kama dhahabu na gesi asilia.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Kupunguza utegemezi kuendane na hali halisi

Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 itaanza kujadiliwa wiki ijayo baada ya kusomwa bungeni mwishoni mwa wiki na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na baadaye Spika Anne Makinda kutoa siku za wabunge kuisoma kabla ya kuanza kuijadili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kina mama Kibaha watakiwa kuacha utegemezi

KINA mama nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kuwa tegemezi na badala yake  wajiunge katika  vikundi vya ujasiriamali  kwa lengo la kupamabana na umasikini. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa jana...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya: Utegemezi unakwamisha miradi mingi

>Masharti ya wahisani na utegemezi wa fedha za wahisani ni mambo ambayo kwa kiasi kikubwa yanakwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani