Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ekolumo designer: Chuo kinachopambana na utegemezi

MWANAMKE ni nguzo muhimu katika familia za Kiafrika kutokana na kutumia muda mwingi kuangalia familia kuliko kina baba.

Hata hivyo, mbali ya umuhimu wake jamii bado haitoi nafasi kwa wanawake kushiriki shughuli nyingi za kijamii hasa ukuzaji uchumi; bado kuna familia zinazoamini mwanamke ni kiumbe wa kukaa nyumbani tu.

Wapo baadhi ya wanaume ambao mbali ya kutegemea wake zao kwa kila kitu bado wanasisitiza wanawake hawatoshi kumiliki mali za familia. Matokeo yake wanapochukua kipato...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AWARD WINNING FASHION DESIGNER LINDA BEZUIDENHOUT IS THE DESIGNER OF YEAR (2014) FOR VIVA INTERNATIONALE MAGAZINE

Below are the photos of the magazine photo shoot with Photographer ANDREW WALKERClick soma zaidi for more photos


 

11 years ago

Michuzi

AWARD WINNING DESIGNER EXTRAORDINAIRE Linda Bezuidenhout official designer of the Ms. Georgia Plus America 2014, Miss TANESHA SMART PAGEANT

Tanzanian Atlanta-based Designer Linda Bezuidenhout ( LB ) will design a formal gown for Ms. Tanesha, that will be worn at the Nationals Finals of the Miss Plus America 2014 which will be held in Georgia at the Westin Hotel & Resort ( last year they were in Louisiana and the best dress winner was a Linda Bezuidenhout dress, worn by Mrs Alabama Octavia Mcclandon). This year the nationals of MISS AMERICA PLUS PAGEANTS will be held in Atlanta  Georgia starting  July 1st to 5th.
Linda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii waepuke utegemezi

SASA naweza kukubaliana na matamshi ambayo yamekuwa yakitolewa na watu mbalimbali kwamba baadhi ya wasanii wetu hawajitambui. Hili linajidhihirisha baada ya wasanii wetu kuomba msaada hata mahali ambako hawastahili kusaidiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi migodini waonywa utegemezi

WANANCHI ambao wanazunguka maeneo ya uwekezaji wa migodi ya dhahabu, wameonywa kuacha kutegemea kampuni zinazochimba madini hayo kujiletea maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHAVITA wajipanga kuondoa utegemezi

CHAMA cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Wilaya ya Kibaha Vijijini, mkoani Pwani, kimejipanga kuhakikisha jamii hiyo inajiunga kwenye vikundi mbalimbali kwa lengo la kuondokana na unyonge ilionao, ikiwa ni pamoja na...

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Viongozi Afrika acheni utegemezi

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka viongozi wa Afrika, kuacha tabia ya kutegemea nchi tajiri, kugharimia mipango ya maendeleo zao. Badala yake, ametaka viongozi wawe wabunifu wa kuandaa mipango ya kuondoka kwenye utegemezi uliokithiri.

 

10 years ago

Mwananchi

Utegemezi umechangia kudhoofisha shilingi yetu

Kwa vigezo vyovyote vile vya kimataifa, uchumi wetu bado unaonekana haupo salama. Hali iko hivyo licha ya kuwepo kwa utajiri mkubwa wa rasilimali kama dhahabu na gesi asilia.

 

11 years ago

Habarileo

Prof. Mwandosya aonya utegemezi wa vyeti

Profesa Mark MwandosyaWASOMI wengi nchini wameshindwa kujiajiri kutokana na kutojua kuwa elimu waliyonayo imewafungua akili ili waweze kufanya mambo yao wakiwa na uelewa mzuri hali inayowafanya kutegemea vyeti walivyonavyo.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Kupunguza utegemezi kuendane na hali halisi

Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 itaanza kujadiliwa wiki ijayo baada ya kusomwa bungeni mwishoni mwa wiki na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na baadaye Spika Anne Makinda kutoa siku za wabunge kuisoma kabla ya kuanza kuijadili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani