Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi migodini waonywa utegemezi

WANANCHI ambao wanazunguka maeneo ya uwekezaji wa migodi ya dhahabu, wameonywa kuacha kutegemea kampuni zinazochimba madini hayo kujiletea maendeleo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wananchi waonywa mvua za masika

WANANCHI wametakiwa kuchukua tahadhari za aina mbalimbali kukabiliana na maafa zaidi katika kipindi hiki cha mvua zinazonyesha za masika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi Pwani waonywa kujiunganishia umeme

WANANCHI wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani wameonywa kuachana na vitendo vya kijiunganishia nyaya za umeme kinyume cha taratibu na sheria kwani kufanya hivyo kunaweza kuleta madhara makubwa ya kutokea kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi waonywa kuwatumia wananchi kwa masilahi yao

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa amewataka viongozi kutowalazimisha wananchi kufanya mambo kwa masilahi yao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Athari za kiafya migodini Tanzania

Wiki Hii katika Haba na Haba tunaangalia athari za kiafya zinazowakuta wananchi kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wakana mauaji migodini TZ

Wamekanusha madai ya mauaji ya wakazi wa eneo la Nyamongo linalozunguka mgodi wa machimbo ya dhahabu Wilayani Tarime

 

11 years ago

Mwananchi

Maambukizi ya VVU yaongezeka migodini

Takwimu za maambukizi ya virusi vya Ukimwi, zimeongezeka katika maeneo yanayozunguka migodi ukilinganisha na maeneo mengine ya nchi.

 

10 years ago

Habarileo

Mfuko wa LAPF waingia migodini

MFUKO wa Pensheni wa LAPF umeanza kusambaza huduma zinazotokana na mfuko huo katika sekta ya migodi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tatizo la ajira kwa watoto migodini TZ

Tatizo la ajira za watoto migodini. Je serikali inaweza vipi kuhakikisha ajira hizi zinakomeshwa.

 

11 years ago

Michuzi

Madini Migodini yapo Salama- Maswi

Na Asteria Muhozya, Mbinga
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi amewataka watanzania kuondoa dhana kuwa madini yanayochimbwa katika migodi mbalimbali nchini yanaibwa na wawekezaji wakubwa na kusisitiza kuwa, Wizara kupitia Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), wapo katika migodi yote nchini kuhakikisha kwamba madini hayo hayatoroshwi .
Maswi ameyasema hayo alipotembelea Mgodi wa kuchimba Makaa ya Mawe wa kampuni ya Tancoal eneo la Ngaka wilayani Mbinga ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani