Madini Migodini yapo Salama- Maswi
![](http://4.bp.blogspot.com/-fzxjgLbTXsY/U_sQ5izQ0GI/AAAAAAAGCNM/fxINydtpmsY/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Na Asteria Muhozya, Mbinga
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi amewataka watanzania kuondoa dhana kuwa madini yanayochimbwa katika migodi mbalimbali nchini yanaibwa na wawekezaji wakubwa na kusisitiza kuwa, Wizara kupitia Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), wapo katika migodi yote nchini kuhakikisha kwamba madini hayo hayatoroshwi .
Maswi ameyasema hayo alipotembelea Mgodi wa kuchimba Makaa ya Mawe wa kampuni ya Tancoal eneo la Ngaka wilayani Mbinga ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HSuUDFknyEQ/U-2bMXdFksI/AAAAAAAF_uc/6rgPuiaI4MM/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-63PlB2Hj33Y/XszhErF9u-I/AAAAAAALrkg/hWvgjO8YFEQweYAut_ET95qC-vsOqpwNACLcBGAsYHQ/s72-c/4%2B%25281%2529.jpg)
SERIKALI YAWATAKA MAAFISA MADINI KUTHIBITISHA USHURU MIGODINI
Tamko hilo lilitolewa Mei 24, 2020 na Waziri wa Madini Doto Biteko wakati akizungumza na Wachimbaji Wadogo wa Madini ya Dhahabu eneo la Lusu Wilayani Nzega Mkoa wa Tabora alipotembelea eneo hilo kuangalia shughuli za uchimbaji madini.
Aidha, tamko hilo linafuatia kuwepo kwa malalamiko toka kwa wachimbaji wanaofanyakazi...
9 years ago
StarTV09 Nov
Maisha ya wenye uhitaji wa damu salama mkoani Singida yapo hatarini
Mkoa wa Singida unakabiliwa na tatizo la upungufu wa damu katika hospitali zake kwa zaidi ya asilimia 60, hali inayotishia uhai wa maisha ya wanawake wajawazito na watoto wakati wa kujifungua, watu waliopata ajali pamoja na wagonjwa wengine wenye uhitaji wa damu salama haraka.
Imeelezwa kuwa mkoa huo ambao kwa wastani huwa na mahitaji ya Uniti 8,000 za damu kwa mwaka, umekuwa ukikusanya Uniti zisizozidi 3,000 kwa kipindi hicho hivyo kutotosheleza mahitaji.
Mtaalamu msaidizi wa damu...
10 years ago
Dewji Blog09 May
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Maswi asafishwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Ndg. Eliakim Maswi.
PRESS RELEASE – MASWI.doc
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Om37WCvrOe55aAz070KDudDcCnTcuk4b0XUeJMYrQYlzLiZ6sQNk8FVaIZbIJpf6degLuKLMVJRyiPOxTl9AQFK/breakingnews.gif)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI, ELIAKIM MASWI ASIMAMISHWA KAZI KWA MUDA
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Athari za kiafya migodini Tanzania
10 years ago
Habarileo17 Dec
Mfuko wa LAPF waingia migodini
MFUKO wa Pensheni wa LAPF umeanza kusambaza huduma zinazotokana na mfuko huo katika sekta ya migodi.
10 years ago
Habarileo04 May
Wananchi migodini waonywa utegemezi
WANANCHI ambao wanazunguka maeneo ya uwekezaji wa migodi ya dhahabu, wameonywa kuacha kutegemea kampuni zinazochimba madini hayo kujiletea maendeleo.
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Polisi wakana mauaji migodini TZ