Maisha ya wenye uhitaji wa damu salama mkoani Singida yapo hatarini
Mkoa wa Singida unakabiliwa na tatizo la upungufu wa damu katika hospitali zake kwa zaidi ya asilimia 60, hali inayotishia uhai wa maisha ya wanawake wajawazito na watoto wakati wa kujifungua, watu waliopata ajali pamoja na wagonjwa wengine wenye uhitaji wa damu salama haraka.
Imeelezwa kuwa mkoa huo ambao kwa wastani huwa na mahitaji ya Uniti 8,000 za damu kwa mwaka, umekuwa ukikusanya Uniti zisizozidi 3,000 kwa kipindi hicho hivyo kutotosheleza mahitaji.
Mtaalamu msaidizi wa damu...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Nov
Maisha ya maelfu ya Watanzania yapo hatarini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2507848/highRes/865465/-/maxw/600/-/5g85upz/-/daladala.jpg)
11 years ago
GPLMPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EmV-3jd_aaw/XtZisd26_rI/AAAAAAALsVw/YE53dENvp3sU0iau4bNKj9h_tyoLmsDuwCLcBGAsYHQ/s72-c/a883580d-89f9-4a75-9558-9e46f4dd0fa9-768x576.jpg)
TANZANIA TUNATOA DAMU BURE KWA WOTE WENYE UHITAJI -DKT.MGASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EmV-3jd_aaw/XtZisd26_rI/AAAAAAALsVw/YE53dENvp3sU0iau4bNKj9h_tyoLmsDuwCLcBGAsYHQ/s640/a883580d-89f9-4a75-9558-9e46f4dd0fa9-768x576.jpg)
Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dkt. Avelina Mgasa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c15e0ebc-398c-430b-bd64-18c13f599003.jpg)
……………………………………………………………………………………………………
MPANGO wa Taifa wa Damu Salama ulio chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto umetoa rai kwa Wananchi kutoa taarifa kwa wanaouza damu ili wachukuliwe hatua kali za kisheria kwani damu inatolewa bure kwa wahitaji.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dk. Avelina Mgasa wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s72-c/1.jpg)
Airtel yashirikiana na Kitengo cha damu salama cha taifa kuokoa maisha
![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hpxlqy25LdY/VNSvU-6xkFI/AAAAAAAHCMs/FNx5DRKoQzk/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WQFJA5SYdOY/U-kLpFUySUI/AAAAAAAF-n4/MttKk-yLXDM/s72-c/download+(1).jpg)
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI SAFI NA SALAMA MKOANI SINGIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WuKigAmZbnA/U2eeQYPqxhI/AAAAAAAA-S4/fHvcQBosT3A/s1600/s11.jpg)
10 years ago
MichuziNHIF KUPIMA AFYA NA KUKUSANYA DAMU KWA USHIRIKIANO WA MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA KATIKA MIKOA SITA
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Watu sita wapoteza maisha mkoani Singida
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP. Thobias Sedoyeka akiongea na waandishi wa habari Mkoani Singida alipokuwa akitoa taarifa za matukio ya mauaji ya watu sita Mkoani hapa.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mukhola, kata ya Mgori wakiwa katika safari ya kumtafuta mtu aliyewauwa wanawake wawili akiwemo mtalaka wake kwa kugombea mashamba.
Na,Jumbe Ismailly, Singida
WATU sita wamefariki dunia na mtu mmoja kujeruhiwa katika matukio manne tofauti yaliyotokea Mkoani Singida kati ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fzxjgLbTXsY/U_sQ5izQ0GI/AAAAAAAGCNM/fxINydtpmsY/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Madini Migodini yapo Salama- Maswi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi amewataka watanzania kuondoa dhana kuwa madini yanayochimbwa katika migodi mbalimbali nchini yanaibwa na wawekezaji wakubwa na kusisitiza kuwa, Wizara kupitia Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), wapo katika migodi yote nchini kuhakikisha kwamba madini hayo hayatoroshwi .
Maswi ameyasema hayo alipotembelea Mgodi wa kuchimba Makaa ya Mawe wa kampuni ya Tancoal eneo la Ngaka wilayani Mbinga ...