Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji 1000 wawasili Ujerumani

Treni zinazobeba mamia ya wahamiaji zimewasili katika Ujerumani baada ya serikali ya Hungary kusitisha juhudi zake za kuwasajili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wawasili Serbia

Baada ya Macedonia kuruhusu wahamiaji kupita, wengi sasa wafika Serbia

 

9 years ago

BBCSwahili

Maelfu ya wahamiaji wawasili Ugiriki

Maelfu ya wahamiaji wamewasili Ugiriki huku serikali ikijiandaa kwa mazungumzo ya kujadili mbinu za kukabiliana na tatizo hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani:Wahamiaji ni Muhimu

Maafisa nchini Ujerumani wanasema wahamiaji wanaowasili kutoka nchini kama Syria watasaidia kujaza pengo la ukosefu wa wataalamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani na ongezeko la wahamiaji

Serikali ya Ujerumani imetangaza hatua kadhaa zitakazotumiwa kuisaidia kukabiliana na ongezeko la wahamiaji

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi wapokelewa Ujerumani

Wahamiaji zaidi wapokelewa na watu waliojitolea Ujerumani na Austria huku serikali yakutana kutafuta mkakati

 

9 years ago

BBCSwahili

Kampuni ya Ujerumani yawapa wahamiaji ajira

Siemens, moja ya kampuni kubwa nchini Ujerumani, imejitenga na kampuni nyingine na kuamua kutoa ajira kwa wingi kwa vijana ambao wanawasili nchini humo kama wakimbizi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji:Ujerumani kudhibiti mpaka wake

Ujerumani inatarajiwa kuanzisha vidhibiti vya mda katika mpaka wake na taifa la Austria ili kukabiliana na idadi kubwa ya wahamiaji kulingana na waziri wa maswala ya ndani nchini humo.

 

5 years ago

Michuzi

VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000


Na WAMJW – Dar es Salaam

05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba  kwa kila vizazi hai  1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.

Hayo yamesemwa leo  jijini  jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya  kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nyumba 1000 zimeteketea California

Nyumba 1000 zimeharibiwa na moto ambao umekuwa ukiwaka kwa zaidi ya wiki moja California nchini Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani