Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maelfu ya wahamiaji wawasili Ugiriki

Maelfu ya wahamiaji wamewasili Ugiriki huku serikali ikijiandaa kwa mazungumzo ya kujadili mbinu za kukabiliana na tatizo hilo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maelfu waandamana Madrid kuiga Ugiriki

Wafuasi wa chama cha mrengo wa kushoto cha Uspania wapata nguvu baada ya Syriza kushinda Ugiriki

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wawasili Serbia

Baada ya Macedonia kuruhusu wahamiaji kupita, wengi sasa wafika Serbia

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 1000 wawasili Ujerumani

Treni zinazobeba mamia ya wahamiaji zimewasili katika Ujerumani baada ya serikali ya Hungary kusitisha juhudi zake za kuwasajili

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 22 wafa maji wakielekea Ugiriki

Wahamiaji 22, wengi wao watoto, wamekufa maji wakijaribu kufika visiwa vya Kalymnos na Rhodes nchini Ugiriki wakitokea Uturuki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Italia yawaokoa maelfu ya wahamiaji

Kikosi cha ulinzi wa pwani ya Italia kimesema kimewaokoa zaidi ya wahamiaji elfu mbili kutoka Afrika

 

5 years ago

BBCSwahili

Walinzi wa mwambao wa Ugiriki walivyofyatua risasi kuwazuia wahamiaji kuendelea na safari

Picha za video zimepatikana za walinzi wa mwambao wa Ugiriki wakifyatua risasi ndani ya eneo la bahari karibu na mashua ya wahamiaji waliotoka Uturuki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki na mgogoro wa kiuchumi

Kiongozi mkuu wa kundi la umoja wa ulaya Jeroen Dijsselbloem amesema ombi la Ugiriki limefanya msingi mzuri wa mahitaji ya Athens.

 

9 years ago

Vijimambo

MSIBA ATHES, UGIRIKI

Familia ya Marehemu George na Mama Rhoda Malongo wa Upanga, Dar es Salam wanasikitika kutangaza kifo cha binti yao mpendwa Esther Glory Malongo kilichotokea ghafla baada ya kuugua kwa muda mfupi tarehe 16/09/2015 Athens, Ugiriki.(1 Timothy 4:7 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, imani nimeiilinda.)
Mwili wa marehemu unatarajiwa kuagwa na watanzania waishio Athens, Ugiriki siku ya jumanne tarehe 22 September 2015 na kusafirishwa kwenda Dar es Salaam Alhamisi, tarehe 24...

 

11 years ago

GPL

COLOMBIA YAICHACHAFYA UGIRIKI

Colombia wakishangilia bao la kwanza. Teofilo Gutierrez akiifungia bao la pili Colombia katika dakika ya 58. TIMU ya taifa ya Colombia imeishushia kichapo cha bao 3-0 Ugiriki katika mechi yao ya kundi C kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Wafungaji wa Colombia ni: Pablo Armero 5, Teofilo Gutierrez 58 na James Rodriguez 90. VIKOSI:
Colombia:… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani