Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugiriki na mgogoro wa kiuchumi

Kiongozi mkuu wa kundi la umoja wa ulaya Jeroen Dijsselbloem amesema ombi la Ugiriki limefanya msingi mzuri wa mahitaji ya Athens.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yapata afueni ya kiuchumi

Bunge la ujerumani limepitisha maamuzi ya kuikomboa Ugiriki kiuchumi

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekebisho ya Ugiriki 'yatafeli'

Harakati za kulikwamua taifa la Ugiriki katika madeni yake zimekosolewa na mawaziri ambao wamefutwa kazi kwa kupinga mpango huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchumi wa Ugiriki umekuwa 1%

Uchumi wa Ugiriki umeshangaza kwa kuonyesha dalili za ukuwaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ombi la Ugiriki lakataliwa

Ombi la serikali ya Ugiriki kuongezewa muda wa kulipa deni lake na kupewa msaada mpya kunusuru uchumi lakataliwa

 

11 years ago

GPL

COLOMBIA YAICHACHAFYA UGIRIKI

Colombia wakishangilia bao la kwanza. Teofilo Gutierrez akiifungia bao la pili Colombia katika dakika ya 58. TIMU ya taifa ya Colombia imeishushia kichapo cha bao 3-0 Ugiriki katika mechi yao ya kundi C kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Wafungaji wa Colombia ni: Pablo Armero 5, Teofilo Gutierrez 58 na James Rodriguez 90. VIKOSI:
Colombia:… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi ni leo Ugiriki

Watu nchini Ugiriki wanaelekea vituo vya kupigia kura kwenye uchaguzi mkuu ambao ni wa tano ndani ya kipindi cha miaka sita

 

9 years ago

Vijimambo

MSIBA ATHES, UGIRIKI

Familia ya Marehemu George na Mama Rhoda Malongo wa Upanga, Dar es Salam wanasikitika kutangaza kifo cha binti yao mpendwa Esther Glory Malongo kilichotokea ghafla baada ya kuugua kwa muda mfupi tarehe 16/09/2015 Athens, Ugiriki.(1 Timothy 4:7 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, imani nimeiilinda.)
Mwili wa marehemu unatarajiwa kuagwa na watanzania waishio Athens, Ugiriki siku ya jumanne tarehe 22 September 2015 na kusafirishwa kwenda Dar es Salaam Alhamisi, tarehe 24...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yaombwa kusema, 'La'

Waziri Mkuu Alexis Tsipras amesisitiza kukataa masharti ya wakopeshaji siyo kuondoka EU.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mihadhara ya 'La' na 'Ndio' Ugiriki

Kila mrengo uko mbioni kushawishi wafuasi wake kuhakikisha ushindi kwenye kura ya Jumapili

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani