Ugiriki yapata afueni ya kiuchumi
Bunge la ujerumani limepitisha maamuzi ya kuikomboa Ugiriki kiuchumi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Ugiriki na mgogoro wa kiuchumi
Kiongozi mkuu wa kundi la umoja wa ulaya Jeroen Dijsselbloem amesema ombi la Ugiriki limefanya msingi mzuri wa mahitaji ya Athens.
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
Ukraine:Upinzani wapata afueni
Rais wa Ukraine Victor Yanukovych ameupa upinzani baadhi ya nyadhifa muhimu za serikali katika juhudi za kumaliza mgogoro wa kisiasa
11 years ago
BBCSwahili11 Jan
Afueni kwa Raia wa S.Kusini UG
Huku mzozo wa Sudan Kusini ukizidi kutokota, na mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kwenda mwendo wa kobe, maelfu ya wakimbizi wanaendelea kuvuka kuingia Uganda
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Wafungwa wa Burundi wapata afueni
Hatua ya Serikali ya Burundi kuwaachia kwa msamaha wa Rais wafungwa zaidi ya elfu tatu imeanza kutekelezwa.
11 years ago
BBCSwahili26 May
Chai afueni ya umasikini Sudan
Kutana na wanawake wanaouza chai mitaani Sudan kama njia ya kujikimu kimaisha
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Afueni kwa wajakazi Brazil
Sheria mpya ambapo waajiri watatozwa faini iwapo watashindwa kuwasajili wafanyikazi wao wa nyumbani imeanza kutekelezwa Brazil.
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Afueni kwa watuhumiwa wa Rwanda
Mahakama maalum ya Kimataifa ya Rwanda- ICTR imefutilia mbali kesi dhidi ya maafisa waandamizi wawili waliodaiwa kuhusika na mauaji ya kimbari
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Seneta wa zamani wa Rwanda apata afueni
Seneta wa zamani nchini Rwanda aliyeshitakiwa makosa ya mauaji ya kimbari Anastase Nzi-ra-sa-na-ho ameshinda kesi yake ya rufaa.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
ICC: Afueni kwa William Ruto
Mahakama ya kimataifa ya ICC, imemruhusu Naibu Rais wa Kenya William Ruto kutohudhuria baadhi ya vikao vya kesi dhidi yake katika mahakama hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania