Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chai afueni ya umasikini Sudan

Kutana na wanawake wanaouza chai mitaani Sudan kama njia ya kujikimu kimaisha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI


Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI

Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa wa Burundi wapata afueni

Hatua ya Serikali ya Burundi kuwaachia kwa msamaha wa Rais wafungwa zaidi ya elfu tatu imeanza kutekelezwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine:Upinzani wapata afueni

Rais wa Ukraine Victor Yanukovych ameupa upinzani baadhi ya nyadhifa muhimu za serikali katika juhudi za kumaliza mgogoro wa kisiasa

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa Raia wa S.Kusini UG

Huku mzozo wa Sudan Kusini ukizidi kutokota, na mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kwenda mwendo wa kobe, maelfu ya wakimbizi wanaendelea kuvuka kuingia Uganda

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa wajakazi Brazil

Sheria mpya ambapo waajiri watatozwa faini iwapo watashindwa kuwasajili wafanyikazi wao wa nyumbani imeanza kutekelezwa Brazil.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa watuhumiwa wa Rwanda

Mahakama maalum ya Kimataifa ya Rwanda- ICTR imefutilia mbali kesi dhidi ya maafisa waandamizi wawili waliodaiwa kuhusika na mauaji ya kimbari

 

9 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yapata afueni ya kiuchumi

Bunge la ujerumani limepitisha maamuzi ya kuikomboa Ugiriki kiuchumi

 

10 years ago

BBCSwahili

Pele aendelea kupata afueni hospitali

Mchezaji wa zamani wa timu ya Brazil Pele anendelea kupata afueni lakini bado amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani