Chai afueni ya umasikini Sudan
Kutana na wanawake wanaouza chai mitaani Sudan kama njia ya kujikimu kimaisha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...
5 years ago
CCM BlogMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Wafungwa wa Burundi wapata afueni
Hatua ya Serikali ya Burundi kuwaachia kwa msamaha wa Rais wafungwa zaidi ya elfu tatu imeanza kutekelezwa.
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
Ukraine:Upinzani wapata afueni
Rais wa Ukraine Victor Yanukovych ameupa upinzani baadhi ya nyadhifa muhimu za serikali katika juhudi za kumaliza mgogoro wa kisiasa
11 years ago
BBCSwahili11 Jan
Afueni kwa Raia wa S.Kusini UG
Huku mzozo wa Sudan Kusini ukizidi kutokota, na mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kwenda mwendo wa kobe, maelfu ya wakimbizi wanaendelea kuvuka kuingia Uganda
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Afueni kwa wajakazi Brazil
Sheria mpya ambapo waajiri watatozwa faini iwapo watashindwa kuwasajili wafanyikazi wao wa nyumbani imeanza kutekelezwa Brazil.
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Afueni kwa watuhumiwa wa Rwanda
Mahakama maalum ya Kimataifa ya Rwanda- ICTR imefutilia mbali kesi dhidi ya maafisa waandamizi wawili waliodaiwa kuhusika na mauaji ya kimbari
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Ugiriki yapata afueni ya kiuchumi
Bunge la ujerumani limepitisha maamuzi ya kuikomboa Ugiriki kiuchumi
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Pele aendelea kupata afueni hospitali
Mchezaji wa zamani wa timu ya Brazil Pele anendelea kupata afueni lakini bado amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania