Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ombi la Ugiriki lakataliwa

Ombi la serikali ya Ugiriki kuongezewa muda wa kulipa deni lake na kupewa msaada mpya kunusuru uchumi lakataliwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ombi la kumnunua Sterling lakataliwa

Liverpool imekataa ombi la kitita cha pauni milioni 25 na nyongeza ya pauni milioni 5 kutoka kwa Manchester City ili kumnunua Raheem Sterling.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ombi la kuishtaki Kenya ICC lakataliwa

Mahakama ya rufaa ya ICC, imetupilia mbali rufaa ya mwendesha mashtaka ya kuishtaki Kenya katika kongamano la kimataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Azimio kuhusu Palestina lakataliwa

Umoja wa mataifa umekataa azimio linalopendekeza kusitishwa kwa mpango wa Israel wa kuyakalia maeneo ya Palestina.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ombi la wafungwa wa Kenya

Mkuu wa magereza nchini Kenya Isaiah Osugo amekataa ombi la wafungwa kuruhusiwa kufanya tendo la ndoa na wake zao wakiwa gerezani.

 

11 years ago

Mwananchi

Mahakama yatupa ombi la Kubenea

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeyakataa maombi ya kusimamisha vikao vya Bunge la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.

 

11 years ago

Habarileo

Ombi la Mbunge wa Bahi latupwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali ombi la Mbunge Bahi, Omary Badwell (CCM), la kusitishwa kuendelea kusikilizwa kwa kesi ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni nane inayomkabili.

 

11 years ago

Habarileo

Ombi la Shekhe Ponda latupwa

 Flora Mwakasala MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la mapitio lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda kwa kuwa limewasilishwa kinyume cha sheria.

 

11 years ago

Mwananchi

Ombi la Sheikh Ponda ‘latupwa’

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeyatupilia mbali maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ya kuitaka isimamishe kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro hadi itakapotoa uamuzi wa rufaa yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Ombi la kusimamisha uchaguzi Burundi latupwa

>Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), imekataa ombi la kutoa amri ya kusitisha kwa muda uchaguzi mkuu nchini Burundi uliowasilishwa na Chama cha  Umoja wa Mawakili barani Afrika (Palu) kwa kushirikiana na asasi za kiraia Afrika Mashariki (EACSOF).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani