Azimio kuhusu Palestina lakataliwa
Umoja wa mataifa umekataa azimio linalopendekeza kusitishwa kwa mpango wa Israel wa kuyakalia maeneo ya Palestina.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Maswali yangu kuhusu Azimio la Tabora na ACT
NIMEFUATILIA kwa karibu mijadala mbalimbali juu ya suala la Itikadi na Azimio la Tabora.
Issa Shivji
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c0j5maEd_uQ/Xrv4fcNEiQI/AAAAAAAAyv0/YKf6w5HvG4cM5uXFqC7H6cyXlZSiTgCzQCLcBGAsYHQ/s72-c/59b64f24b6554.jpg)
BARAZA LA USALAMA LA UN LAJARIBU KUKUBALIANA KUHUSU AZIMIO LA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-c0j5maEd_uQ/Xrv4fcNEiQI/AAAAAAAAyv0/YKf6w5HvG4cM5uXFqC7H6cyXlZSiTgCzQCLcBGAsYHQ/s640/59b64f24b6554.jpg)
Marekani siku ya Ijumaa ilipinga pendekezo la azimio lililotayarishwa na Ufaransa na Tunisia baada ya wanadiplomasia kusema wamekubaliana na lugha iliyotumika na China ambayo haitaji moja kwa moja...
10 years ago
Vijimambo18 Dec
SERIKALI YAKUBALI AZIMIO ARUSHA KUHUSU HIFADHI YA JAMII
![IMG_7245](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_7245.jpg)
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).
Na Mwandishi wetu, ArushaSERIKALI ya Tanzania imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa hifadhi ya jamii kutoka bara la...
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
Serikali yakubali azimio la Arusha kuhusu hifadhi ya jamii
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini Arusha.(Picha zote na Eleuteri Mangi- Arusha).
Na Mwandishi wetu, Arusha
SERIKALI ya Tanzania imeridhia azimio la arusha kuhusi hifadhi ya jamii nchini Tanzania na kusema litatumika kama dira katika kunemeesha watanzania.
Azimio hilo ambalo limetoka baada ya mkutano wa siku tatu wa wadau mbalimbali wa hifadhi ya jamii kutoka bara la...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qC-WN9hEgy0/VicD-sc1DiI/AAAAAAAIBa4/mjfbYrj9LhQ/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
TANZANIA NA MALAWI ZAWASILISHA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE UALIBINO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9KHm0_DQrm8/VJPH9vkO8mI/AAAAAAAG4Wg/k4Jq5S0T78Y/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
TANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WALEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9KHm0_DQrm8/VJPH9vkO8mI/AAAAAAAG4Wg/k4Jq5S0T78Y/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
9 years ago
MichuziAZIMIO KUHUSU WATU WENYE UALIBINO LAPITISHWA KWA KAULI MOJA
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewashukuru wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa kupitisha kwa kauli moja Azimio linalotaka pamoja na mambo mengine Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuwasilisha taarifa kuhusu watu wenye ualibino.
Azimio hilo na ambalo liliandaliwa kwa pamoja kati ya Wakilishi za Kudumu za Tanzania na Malawi katika Umoja wa Mataifa, limepitishwa siku ya Jumanne baada ya majadiliano ya kina na jumuishi...
10 years ago
VijimamboTANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...