Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA ATHES, UGIRIKI

Familia ya Marehemu George na Mama Rhoda Malongo wa Upanga, Dar es Salam wanasikitika kutangaza kifo cha binti yao mpendwa Esther Glory Malongo kilichotokea ghafla baada ya kuugua kwa muda mfupi tarehe 16/09/2015 Athens, Ugiriki.(1 Timothy 4:7 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, imani nimeiilinda.)
Mwili wa marehemu unatarajiwa kuagwa na watanzania waishio Athens, Ugiriki siku ya jumanne tarehe 22 September 2015 na kusafirishwa kwenda Dar es Salaam Alhamisi, tarehe 24...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya Serikali wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Luteni mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Marehemu Martin David Msuguri wakati wa ibada ya kumuaga na mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Baba yake, Jenerali mstaafu David Msuguri, Butihama mkoani Mara Juni 21.2015. Marehemu Martin alifariki Juni 19 mwaka huu katika Hospitali ya Lugalo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ombi la Ugiriki lakataliwa

Ombi la serikali ya Ugiriki kuongezewa muda wa kulipa deni lake na kupewa msaada mpya kunusuru uchumi lakataliwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchumi wa Ugiriki umekuwa 1%

Uchumi wa Ugiriki umeshangaza kwa kuonyesha dalili za ukuwaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki na mgogoro wa kiuchumi

Kiongozi mkuu wa kundi la umoja wa ulaya Jeroen Dijsselbloem amesema ombi la Ugiriki limefanya msingi mzuri wa mahitaji ya Athens.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi ni leo Ugiriki

Watu nchini Ugiriki wanaelekea vituo vya kupigia kura kwenye uchaguzi mkuu ambao ni wa tano ndani ya kipindi cha miaka sita

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekebisho ya Ugiriki 'yatafeli'

Harakati za kulikwamua taifa la Ugiriki katika madeni yake zimekosolewa na mawaziri ambao wamefutwa kazi kwa kupinga mpango huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yaonywa Kura ya 'La'

Kanda inayotumia sarafu ya Euro inasema kura ya 'La' haitasaidia Ugiriki kutatua matatizo yake ya kifedha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mihadhara ya 'La' na 'Ndio' Ugiriki

Kila mrengo uko mbioni kushawishi wafuasi wake kuhakikisha ushindi kwenye kura ya Jumapili

 

11 years ago

GPL

COLOMBIA YAICHACHAFYA UGIRIKI

Colombia wakishangilia bao la kwanza. Teofilo Gutierrez akiifungia bao la pili Colombia katika dakika ya 58. TIMU ya taifa ya Colombia imeishushia kichapo cha bao 3-0 Ugiriki katika mechi yao ya kundi C kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Wafungaji wa Colombia ni: Pablo Armero 5, Teofilo Gutierrez 58 na James Rodriguez 90. VIKOSI:
Colombia:… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani