Walinzi wa mwambao wa Ugiriki walivyofyatua risasi kuwazuia wahamiaji kuendelea na safari
Picha za video zimepatikana za walinzi wa mwambao wa Ugiriki wakifyatua risasi ndani ya eneo la bahari karibu na mashua ya wahamiaji waliotoka Uturuki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Maelfu ya wahamiaji wawasili Ugiriki
Maelfu ya wahamiaji wamewasili Ugiriki huku serikali ikijiandaa kwa mazungumzo ya kujadili mbinu za kukabiliana na tatizo hilo
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Wahamiaji 22 wafa maji wakielekea Ugiriki
Wahamiaji 22, wengi wao watoto, wamekufa maji wakijaribu kufika visiwa vya Kalymnos na Rhodes nchini Ugiriki wakitokea Uturuki.
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Benki nchini Ugiriki kuendelea kufungwa
Benki na masoko ya hisa nchini Ugiriki yataendelea kufungwa kwa muda usiotajwa huku mitaji ikidhibitiwa
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
KQ kuendelea na safari Afrika Magharibi
Kenya Airways imesema kuwa athari ya kuambukizwa homa ya Ebola kwa kuzuru Magharibi mwa Afrika sio kubwa.
10 years ago
VijimamboDK. MALECELA AKIWA KATIKA STUDIO ZA MWAMBAO JIJINI TANGA, YUPO JIJINI HUMO KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA SAFARI YAKE YA KUOMBA KUWANIA URAIS KWA TIKETI YA CCM
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-66fTxS0zKfc/U-C-Rb74OXI/AAAAAAAF9Qs/loK-bN4qyYg/s72-c/MMGM0357.jpg)
Fainali za Safari Nationa Pool kuendelea wiki hii
FAINALI za mashindano ya mchezo wa Pool ngazi ya Mikoa zinazodhaminiwa na Kampuni ya Bia nchini(TBL) kupitia Bia yake ya Safari Lager zijulikanazo kwa “ Safari National Pool Competition 2014” zinatarajiwa kuendelea tena wikii hii baada ya kusimama kupisha mfungo wa Ramadhani.
Akizungumza na waandishi wa habari Katibu Mkuu wa Chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga alisema mikoa inayotarajiwa kuendelea wiki hii ni pamoja na Mkoa wa kimichezo wa Kinondoni,Tanga na Manyala ambayo...
Akizungumza na waandishi wa habari Katibu Mkuu wa Chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga alisema mikoa inayotarajiwa kuendelea wiki hii ni pamoja na Mkoa wa kimichezo wa Kinondoni,Tanga na Manyala ambayo...
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZ: MAGARI YA KITALII YA TANZANIA RUKSA KUINGIA UWANJA WA JOMO KENYATTA, NA SAFARI ZA KENYA AIRWAYS KUENDELEA KUWA 42
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Polisi watanda Muhimbili kuwazuia ‘JKT’
>Polisi wenye silaha na mabomu ya machozi pamoja na maofisa usalama, jana walitanda katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kuzuia vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wasimwone mwenyekiti wao, George Mgoba, aliyelazwa baada ya kutekwa na kuteswa na watu wasiojulikana.
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Mgahawa wa Kichina wakiri kuwazuia weusi
Wamiliki wa mgahawa wa kichina uliopo jijini Nairobi nchini Kenya uliofungwa na mamlaka ya eneo hilo amekiri kuwazuia watu weusi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania