ONGEZEKO LA WANAUME WAGUMBA
![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JKUbhAm5**hfPtcseAt03H4nPuMPPMroeeADOppL9lAR7KnRwjRKiqdNTd5OI69XLOQpjR9CxMQhpSDW2vjAoU6/mannnnnnnnn1.jpg?width=650)
Wanaume wengi hapa nchini na nchi nyingi za Afrika bado hawafahamu kwamba tatizo la ugumba si kwa wanawake pekee bali wanaume pia hukumbwa na tatizo hili tena kwa asilimia sawa kabisa na wanawake.Tafiti za kitabibu zinaonesha kuwa matatizo ya ugumba huwakuta wanaume kwa asilimia 50 kama ambavyo 50% inayobaki huwa ni kwa wanawake. Kutofahamu huku kumekuwa mwiba mkali kwa wanawake pale inapotokea wanandoa wameishi zaidi ya mwaka...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Dec
Waziri- Kuna wanaume 'wagumba'
TANZANIA inakabiliwa na uwepo wa wanaume wenye mbegu zisizo na uwezo wa kutunga mimba. Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alisema hayo bungeni jana, wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalumu, Kidawa Salehe (CCM).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMtPcVOisjjj6*8bFsa6nIpJtyZOGjij77C*6MfasUDhCM8N*eh3BpPHpNUxY5zTzbZJo*BlxDbzYNMwhJsK8avq/FRONTJUMAMOSI.jpg)
DAKTARI AANIKA CHANZO CHA MASTAA KUWA WAGUMBA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
Ujerumani na ongezeko la wahamiaji
11 years ago
Mwananchi03 May
Ongezeko la JK la mishahara lafurahisha wengi
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Ongezeko la ajali nchini Tanzania
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Ongezeko la ndege lazaa faida
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Ongezeko la wateja changamoto TUWASA
ONGEZEKO la bei ya matumizi ya maji ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Tukuyu (TUWASA) wilayani Rungwe, Mbeya lilisababisha mgogoro kati ya wateja na mamlaka. Kutokana na mgogoro huo, mamlaka...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
ATCL yajivunia ongezeko la abiria