Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EU yamwaga Sh5 bilioni EAC

Jumuiya ya Ulaya (EU), jana ilitoa msaada wa Euro 2.3 milioni (Sh5.7 bilioni) kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kusadia vita dhidi ya maharamia na uhalifu wa majini Ukanda wa Kusini mwa Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Serikali za Mitaa watengewa Sh5 bilioni

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana aliwasilisha bungeni, bajeti ya ofisi yake na mfuko wa Bunge inayofikia Sh5.21 trilioni. Kati ya hizo, Sh5 bilioni zimetengwa kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Sh5 bilioni za Tanesco ‘zamezwa’ na vipuri chakavu

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limetumia zaidi ya Sh5 bilioni kukarabati mitambo chakavu ambayo imekuwa chanzo cha kukatika kwa umeme mara kwa mara na kusababisha kusuasua kwa shughuli za maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kizimbani kwa pembe za ndovu za Sh5 bilioni

Wafanyabiashara wawili wakazi wa Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Frank Moshi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana na kusomewa mashtaka matatu ya kufanya biashara ya pembe za ndovu zenye thamani ya zaidi ya Sh5.4 bilioni.

 

11 years ago

Mwananchi

BOA Tanzania yapata faida ya Sh5 bilioni

 Benki ya Afrika (BOA) imeongeza faida yake kwa asilimia 63 na kupata Sh5.4 bilioni mwaka 2013 kabla ya kodi, ikilinganishwa na faida ya Sh3.3 bilioni iliyopatikana mwaka 2012.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kulipa riba Sh5 bilioni deni la miezi sita

Serikali italazimika kulipa hasara ya zaidi ya Sh5.2 bilioni (Dola za Marekani milioni 3.1) ambazo ni riba ya malimbikizo ya malipo ya miezi sita kwa Kampuni ya Jacobsen Elekron AS inayotekeleza awamu ya kwanza ya mradi wa umeme wa Kinyerezi, Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

‘How we seized Sh5.2bn drugs’

A police officer yesterday told the High Court that they had to break the door to gain entry to a room where Sh5.2 billion worth of heroin was kept after suspected traffickers were engaged in buck passing on the whereabouts of the keys.

 

11 years ago

TheCitizen

Sh5.4bn set aside for irrigation

The government intends to revive the Lower Moshi Irrigation Scheme in the Kahe lowlands near Moshi Town, the deputy minister for Agriculture, Food Security and Cooperatives, Godfrey Zambi has revealed.

 

11 years ago

TheCitizen

Mtwara builds Sh5 billion dumpsite

>In a move to respond with increased activities following the discovery of gas, Mtwara Municipal Council is finalising construction of a Sh4.96 billion sanitary landfill site, the largest ever in the country.

 

10 years ago

TheCitizen

TPDC minimum salary set for Sh5.4m

>Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is proposing new salaries and allowances that would make even its middle-level employees the envy of some of the highest remunerated Tanzanian chief executive officers.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani