EU yamwaga Sh5 bilioni EAC
Jumuiya ya Ulaya (EU), jana ilitoa msaada wa Euro 2.3 milioni (Sh5.7 bilioni) kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kusadia vita dhidi ya maharamia na uhalifu wa majini Ukanda wa Kusini mwa Afrika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 May
Uchaguzi Serikali za Mitaa watengewa Sh5 bilioni
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana aliwasilisha bungeni, bajeti ya ofisi yake na mfuko wa Bunge inayofikia Sh5.21 trilioni. Kati ya hizo, Sh5 bilioni zimetengwa kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Sh5 bilioni za Tanesco ‘zamezwa’ na vipuri chakavu
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limetumia zaidi ya Sh5 bilioni kukarabati mitambo chakavu ambayo imekuwa chanzo cha kukatika kwa umeme mara kwa mara na kusababisha kusuasua kwa shughuli za maendeleo.
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Kizimbani kwa pembe za ndovu za Sh5 bilioni
Wafanyabiashara wawili wakazi wa Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Frank Moshi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana na kusomewa mashtaka matatu ya kufanya biashara ya pembe za ndovu zenye thamani ya zaidi ya Sh5.4 bilioni.
11 years ago
Mwananchi04 Apr
BOA Tanzania yapata faida ya Sh5 bilioni
 Benki ya Afrika (BOA) imeongeza faida yake kwa asilimia 63 na kupata Sh5.4 bilioni mwaka 2013 kabla ya kodi, ikilinganishwa na faida ya Sh3.3 bilioni iliyopatikana mwaka 2012.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Serikali kulipa riba Sh5 bilioni deni la miezi sita
Serikali italazimika kulipa hasara ya zaidi ya Sh5.2 bilioni (Dola za Marekani milioni 3.1) ambazo ni riba ya malimbikizo ya malipo ya miezi sita kwa Kampuni ya Jacobsen Elekron AS inayotekeleza awamu ya kwanza ya mradi wa umeme wa Kinyerezi, Dar es Salaam.
10 years ago
TheCitizen13 Aug
‘How we seized Sh5.2bn drugs’
A police officer yesterday told the High Court that they had to break the door to gain entry to a room where Sh5.2 billion worth of heroin was kept after suspected traffickers were engaged in buck passing on the whereabouts of the keys.
11 years ago
TheCitizen21 Apr
Sh5.4bn set aside for irrigation
The government intends to revive the Lower Moshi Irrigation Scheme in the Kahe lowlands near Moshi Town, the deputy minister for Agriculture, Food Security and Cooperatives, Godfrey Zambi has revealed.
11 years ago
TheCitizen28 Mar
Mtwara builds Sh5 billion dumpsite
>In a move to respond with increased activities following the discovery of gas, Mtwara Municipal Council is finalising construction of a Sh4.96 billion sanitary landfill site, the largest ever in the country.
10 years ago
TheCitizen17 Dec
TPDC minimum salary set for Sh5.4m
>Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is proposing new salaries and allowances that would make even its middle-level employees the envy of some of the highest remunerated Tanzanian chief executive officers.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania