Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Exim yaisaidia wodi ya wazazi Mwananyamala

BENKI ya Exim ya Tanzania imeadhimisha Sikukuu ya Mama Duniani kwa kuchangia magodoro 60 katika wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam. Kwa sasa, hospitali hiyo ambayo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA MWANANYAMALA WAKABIDHIWA VIFAA

Wauguzi wa Hospitali ya Mwananyamala wakifurahi baada ya kukabidhiwa vifaa maalumu kwa ajili ya huduma ya uzalishaji. Baadhi ya manesi wakiwa na mwakilishi wa Upendo Women's Group Belgium baada ya kukabidhi vifaa kwa ajili ya kupunguza matatizo ya kina mama wajawazito…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bongo Movie wasaidia wodi ya kina mama Mwananyamala

BONGO Movie Club wametoa msaada katika wodi ya kina mama na watoto katika Hospitali ya Mwananyamala, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Msaada huo wa vitu mbalimbali zikiwamo nguo za watoto,...

 

11 years ago

Habarileo

Exim yatoa magodoro 60 Mwananyamala

BENKI ya Exim ya Tanzania imeadhimisha Sikukuu ya Mama Duniani kwa kuchangia magodoro 60 katika wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

M/KITI WA TAWI LA CCM CALIFORNIA ATEMBELEA WODI YA KINA-MAMA HOSPITALI YA MWANANYAMALA

M/kiti tawi la California B. Josephine M. akikabidhi mojawapo ya zawadi na vifaa mbali mbali kwa wamama takribani sitini katika hospitali hiyo iliyopo katika wilaya ya Kinondoni. Bi Josephine alifarijika kwa shukurani tele kutoka kwa akina mama hao waliomshukuru na kufarijika kwa kutembelewa na kiongozi huyo. Ziara ya Bi Josephine ilifanyika mwishoni mwa-mwezi wa pili mwaka huu. 

Ni raha kubwa ilioje mmoja wakina mama akipatiwa blanketi la mtoto kutoka kwa B. Josephine.

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ULINZI YA SGA YATOA MSAADA WA MASHINE YA KUPUMULIA NA MASHUKA WODI YA WATOTO MWANANYAMALA

Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Ulinzi ya Security Group Africa (SGA), Eric Sambu (kulia) akimkabidhi mshine ya kupumulia na mashuka, Mratibu wa Tiba katika Hospitali ya Mwananyamala, Dk Daniel Nkungu. Makabidhiano hayo yalifanyika mwishoni mwa wiki. Katikati yao ni Meneja Mahusiano kwa wateja wa SGA, Sophia Luhikula. Vitu vilivyotolewa msaada Hosipitalini hapo.Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Ulinzi ya Security Group Africa (SGA), Eric Sambu (kulia) akimkabidhi mshine ya kupumulia na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kunguni watesa wodi ya wazazi

WODI ya wazazi katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora inakabiliwa na matatizo ya wadudu aina ya kunguni. Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika wodi hiyo, mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Chibulunje ataka wodi ya wazazi

SERIKALI imeshindwa kujenga jengo la wodi ya wazazi katika hospitali ya Rufaa Mkoani hapa  kwa miaka minane iliyopita. Hata hivyo mpaka sasa haijulikani ujenzi huo utakamilika lini kwani kutokuwepo kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HON:MWIGULU NCHEMBA AMETIMIZA MIAKA 40,ATUMIA SIKU YAKE KUCHANGIA DAMU,KUSALIMIA WATOTO YATIMA NA KUJULIA HALI WODI YA AKINAMAMA MWANANYAMALA

Mh:Mwigulu Nchemba hii leo ametimiza miaka 40 ya Kuzaliwa kwake.Mwigulu Nchemba akiwasili Hospitali ya Mwananyamala kwaajili ya Kutembelea na kusalimia Wodi ya wazazi kama sehemu yake ya Kusherekea siku ya Kuzaliwa(Miaka 40).Mwigulu Nchemba akisalimiana na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya Mwananyamala hii leo tar.07.01.2015.Mh:Mwigulu Nchemba akimsalimia mtoto aliyepatwa na tatizo la kuungua moto.Mh:Mwigulu akisikiliza kwa makini mahitaji ya wodi ya akinamama kutoka kwa Mganga mkuu...

 

10 years ago

GPL

SAA WATOA MADAWA KWA WODI YA WAZAZI TEMEKE

Mlezi wa chama cha Washereheshaji Nchini Tanzania ‘Sherehe Arts Association(SAA), Ahmed chombo (mwenye shati la drafti) akikabidhi dawa katika hospitali ya Temeke. Mganga mfawidhi, Amani Malima (wa pili kulia) akipokea dawa hizo na kuahidi kuzifikisha kwa walengwa.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani