Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chibulunje ataka wodi ya wazazi

SERIKALI imeshindwa kujenga jengo la wodi ya wazazi katika hospitali ya Rufaa Mkoani hapa  kwa miaka minane iliyopita. Hata hivyo mpaka sasa haijulikani ujenzi huo utakamilika lini kwani kutokuwepo kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kunguni watesa wodi ya wazazi

WODI ya wazazi katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora inakabiliwa na matatizo ya wadudu aina ya kunguni. Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika wodi hiyo, mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Exim yaisaidia wodi ya wazazi Mwananyamala

BENKI ya Exim ya Tanzania imeadhimisha Sikukuu ya Mama Duniani kwa kuchangia magodoro 60 katika wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam. Kwa sasa, hospitali hiyo ambayo...

 

11 years ago

GPL

WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA MWANANYAMALA WAKABIDHIWA VIFAA

Wauguzi wa Hospitali ya Mwananyamala wakifurahi baada ya kukabidhiwa vifaa maalumu kwa ajili ya huduma ya uzalishaji. Baadhi ya manesi wakiwa na mwakilishi wa Upendo Women's Group Belgium baada ya kukabidhi vifaa kwa ajili ya kupunguza matatizo ya kina mama wajawazito…

 

10 years ago

GPL

SAA WATOA MADAWA KWA WODI YA WAZAZI TEMEKE

Mlezi wa chama cha Washereheshaji Nchini Tanzania ‘Sherehe Arts Association(SAA), Ahmed chombo (mwenye shati la drafti) akikabidhi dawa katika hospitali ya Temeke. Mganga mfawidhi, Amani Malima (wa pili kulia) akipokea dawa hizo na kuahidi kuzifikisha kwa walengwa.…

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamume akiwa wodi ya wazazi ni sawa na askari mwoga aliyeenda vitani

Kulingana na desturi za Kiafrika, mjamzito anapopatwa na uchungu, mama, dada au shangazi huwa ni watu muhimu wanaomsindikiza hospitali kwenda kujifungua.

 

10 years ago

Vijimambo

Wizara ya Afya Zanzibar Yatiliana Saini ya Makubaliano ya Ujenzi Wodi ya Watoto na Wazazi.

Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Mr. Jaap Frederiks akizungumza na baadhi ya watendaji wakuu wa Wizara ya Afya kabla ya utiaji saini makubaliano ya uboreshwaji wa wodi ya wazazi na watoto Unguja na Pemba, hafla hiyo imefanyika Wizara ya Afya Zanzibar.Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Saleh M. Jidawi (wa kulia waliokaa) na Meneja wa Kampuni ya Simed International Services ya Uholanzi Nd. Michor Pleijzer wakitia saini mkataba wa uboreshwaji wa wodi ya wazazi na watoto Unguja na Pemba...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA UJENZI WA WODI YA WATOTO NA WAZAZI

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Saleh M. Jidawi (wa kulia waliokaa) na Meneja wa Kampuni ya Simed International Services ya Uholanzi Nd. Michor Pleijzer wakitia saini mkataba wa uboreshwaji wa wodi ya wazazi na watoto Unguja na Pemba huku wakishuhudiwa na Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Mr. Jaap Frederiks katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mjini Zanzibar. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Saleh M. Jidawi (kulia)na Meneja wa...

 

11 years ago

Michuzi

TBL YAKABIDHI WODI YA WAZAZI NA MIUNDOMBINU YA MAJI ILIYOKARABATIWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA AMANA, ILALA

 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ilala, Jesca Njau (kushoto) akikata utepe ikiwa ni ishara ya kukabidhi wodi ya watoto wachanga Katika Hospitali ya Rufaa ya Amana Ilala iliyokarabatiwa kwa msaada kampuni hiyo, Dar es Salaam jana.  Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Daktari Bingwa wa Watoto wa Hospitali hiyo, Dk. Mtagi Kibatala, Mhandisi wa TBL, John Malisa na Mganga Mkuu wa hospitali hiyo, Dk. Meshack Shimwela. TBL ilitumia sh. mil. 68 kukarabati wodi hiyo na miundombinu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19

home gymKituo cha Mazoezi cha Home Gym…

Na Andrew Chale, modewjiblog

[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa  kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea  wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.

Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani