Extra Bongo kuwasha moto mkali Chitaz leo
BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level’, leo itawapagawisha wapenzi wake katika Ukumbi wa Chitaz, uliopo maeneo ya Kijitonyama, wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s72-c/missTZ2014.png)
MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s1600/missTZ2014.png)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
GPLMISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Majirani kuwasha moto leo
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Fiesta kuwasha moto Iringa leo
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Tamasha la Serengeti Fiesta kuwasha moto Moshi leo
UHONDO wa burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii mahiri waliopo katika msafara wa Serengeti Fiesta 2014, leo ni zamu ya wapenzi na mashabiki wa mji wa Moshi na vitongoni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfCsRFU6Ulgv4I0JIWOD4M01FVJuHZQlQdTP6Fgso1NDBKWFQjwJkxUioCvWh9ib1UPN3pg0s2qlkeIxjCI4yKLj/mashauziyamoto.jpg?width=650)
YAMOTO BAND, MASHAUZI KUWASHA MOTO MANGO GARDEN LEO
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Sauti Sol kuwasha moto tamasha la ZIFF usiku wa leo
Kundi la wasanii maarufu kutoka nchini Kenya Sauti Sol katika mkutano na wandishi wa habari (hawapo pichani) ndani ya Hoteli ya Doubletree by Hilton mjini Zanzibar. Kutoka kushoto ni Bien Baraza (vocalist), Chimano Austin (vocalist), Delvine Mudigi(vocalist) na Polycarp Otieno (Quitar & Vocalist).
Bien Baraza wa kundi la Sauti Sol akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana umuhimu wa wasanii kutumia mitandao ya kijamii na muziki wao katika kukemea mambo maovu yanayoendelea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*rywFRf11Vn*F9QXBvTb3osAK1A13*qPEee09372UOezbQ4lYytPMJLADjbTnWJORiCFPR4leKd5DermlwKH0*s/EXTRABONGO1.jpg?width=650)
EXTRA BONGO ILIVYOKAMUA USIKU WA KUAMKIA LEO
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Skylight Band waendelea kuwasha moto wa nguvu ndani ya Escape One usikose leo
Waimbaji wa Bendi ya Skylight pamoja na mashabiki wa bendi hiyo wakiendelea kuzirudi katika kiota cha Escape One Jijini Dar es Salaam na leo sio siku ya kukosa maana utakosa vitu vizuri kutoka katika bendi hiyo
Rapa Mkongwe wa muziki wa dansi wa Skylight Band, Joniko Flower akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Jumapili iliyopita ndani ya kioa cha Escape One Mikocheni ambapo leo pia burudani iko pale pale na ndio kwanza week end imeanza kwa fans wa Skylight Band.
Kasongo Junior...