Faida ya zao la muhogo kiuchumi
Zao la muhogo kwa wananchi walio wengi linachukuliwa kama la kinga dhidi ya njaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Zao la muhogo linavyoweza kuwa na manufaa kiuchumi
5 years ago
StarTV19 Feb
Sikonge waaswa kutodharau zao za muhogo.
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Faida za kiuchumi za ufugaji nyuki
UFUGAJI nyuki nchini hufanyika kwenye misitu na mapori ya akiba na asilimia ndogo hufanyika katika maeneo ya kilimo. Wananchi waishio jirani na maeneo ya hifadhi za misitu na baadhi ya...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Urasimishaji biashara na faida zake kiuchumi
UCHUMI wa Tanzania umeelezwa kuimarika huku pato laifa likikuwa kwa asilimia 7, lakini ukuaji huo hauna matokeo chanya kwa mwananchi. Moja ya sababu kubwa ni kwamba watu wengi hawajarasimisha rasilimali...
11 years ago
Mwananchi21 May
Zipo faida, hasara za serikali mbili au tatu kisiasa, kiuchumi
9 years ago
Bongo530 Dec
Hizi njia 5 wasanii wa Bongo wanaweza kuuza albamu zao kwa faida
![Prof Jay - Machozi Jasho Na Damu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Prof-Jay-Machozi-Jasho-Na-Damu-300x194.jpg)
Kwa sasa muziki wa Bongo Flava umefanikiwa kuvuka mipaka ya kimataifa kwa kiwango kikubwa. Jambo la kusikitisha ni kuwa kukua kwa muziki wetu kumeshindwa kuimarisha soko la mauzo ya album za wasanii wetu.
Kila msanii amekuwa akilalamikia ukiritimba uliokithiri katika usambazaji wa albamu zao suala linalopelekea wasanii wengi kutotoa albamu. Kiuhalisia ni kuwa albamu siku zote ni kipimo cha ubora wa msanii yeyote yule duniani.
Vuta pumzi kisha zirudishe nyuma kumbukumbu zako,HOMA YA DUNIA,...
10 years ago
MichuziWANANCHI WANATAKA USIMAMIZI WA FEDHA ZAO KATIKA KUWALETEA MAENDELEO YA KIUCHUMI -CAG
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.
Tigo Tanzania leo imekuwa...
11 years ago
Habarileo25 Feb
Muhogo hatarini kutoweka Dodoma
ZAO la muhogo ambalo kwa miaka mingi limekuwa mkombozi kwa wanavijiji wengi mkoani Dodoma kama zao la kinga ya njaa liko hatarini kutoweka kwa sababu ya kukumbwa na magonjwa hatari ya batobato na wadudu waitwao vidung’ata na vidumba.