Fainali kombe la mapinduzi kupigwa leo
Michuano ya kombe la mapinduzi kufika tamati leo kwa timu za Simba na Mtibwa kucheza mchezo wa fainali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLNUSU FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI LEO
Azam FC vs KCC live leo on Azam TV saa kumi jioni
Saa mbili usiku Simba vs URA , Live on Azam…
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Kibadeni aota robo fainali ya Kombe Mapinduzi
Zanzibar. Licha ya kupumulia mashine katika michuano ya Mapinduzi inayoendelea visiwani hapa, kocha wa Ashanti United, Abdallah ‘King’ Kibadeni amesema hajakata tamaa ya kusonga mbele katika hatua ya robo fainali.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrJ3a9Oy1cjX2-A79KODGwbxxoHuIogfEk3zhtvrPeClBEVeH1Rtuf5Z-y7u6JePKCve0cAIKrFsn-oxMuPBiSr/2SIMBAVSKCC1.jpg?width=650)
HALF TIME FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: SIMBA 0, KCC 1
Timu za Simba na KCC zikisubiri kukaguliwa kabla ya mtanange kuanza kwenye Uwanja wa Amaan mjini Unguja. KWA sasa ni mapumziko katika mechi ya fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kati ya Simba SC na KCC ya Uganda ndani ya Uwanja wa Amaan mjini Unguja. KCC wako mbele kwa bao…
10 years ago
Vijimambo10 Jan
SIMBA, MTIBWA SUGAR ZAKUTANA FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/IMG_4303.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tcHJ6333pCU/Xm29BNh4ahI/AAAAAAAAgG4/3iPJOVceQO0_KvtX068cUTXqcWtCCxKMwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200314_105237.jpg)
FAINALI YA MASHINDANO YA REDE KUPIGWA LEO MKWAKWANI TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tcHJ6333pCU/Xm29BNh4ahI/AAAAAAAAgG4/3iPJOVceQO0_KvtX068cUTXqcWtCCxKMwCLcBGAsYHQ/s640/20200314_105237.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Brothers Intertaiment Nasoro Makau ambao ndio waandaaji wa Mashindano ya Rede Jijini Tanga akizungumza na waandishi wa habari kuelekea Fainali ya Mashindano hayo kushoto ni
Mratibu wa Mashindano hayo Zaituni Mango kulia ni Msimamizi wa Waamuzi Magdalena Liwemba
![](https://1.bp.blogspot.com/-XQoxevQPDRk/Xm29ITOsJzI/AAAAAAAAgG8/TS5B0YZ66zo9T7VVEvcDDojlvu2r4_vswCLcBGAsYHQ/s640/20200314_110702.jpg)
Mratibu wa Mashindano hayo Zaituni Mango akisisitiza jambo kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Brothers Intertaiment Nasoro Makau ambao ndio waandaaji wa Mashindano ya Rede Jijini Tanga na Msimamizi...
11 years ago
BBCSwahili17 May
Fainali ya kombe la F.A kufanyika leo
Timu ya Arsenal ina matumaini ya kumaliza kiu chake cha miaka tisa bila taji lolote itakapochuana na timu ya Hull City
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Ni shughuli nusu fainali Mapinduzi Cup Leo
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, leo wanashuka kwenye dimba la Amaan hapa Unguja kuwavaa Watoza Ushuru wa Mamlaka ya Mapato Uganda (URA), katika nusu fainali ya pili ya Kombe la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGb-H5HwK1zta5Dj4AjPUMcq1s6l7siMwg8rRl09kINAL0pLpehxZ9YakrD6PwFsycqHalKMdSpni-KieTEJcL6m/kombeladunia.gif?width=650)
ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO
Mshambuliaji wa timu ya Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior ' Neymar '. John Joseph na mtandao NJIA ya kuelekea kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2014 inachongwa leo Ijumaa na kesho Jumamosi ambapo kutakuwa na mechi nne za robo fainali.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CoRdBJPldDKYNl06kbaI82rJfChXEPaAnIOtewvRQYC7ry4PKmokHrHE1frjlMlS-oouBuoV6iaERq0mCkq6M44/Shakiraworldcupclosingceremony.jpg)
SHAKIRA, WYCLEF JEAN KUIPAMBA FAINALI YA KOMBE LA DUNIA LEO USIKU
Shakira atapanda sejini kuimba wimbo wa "La la la (Brazil 2014)". WANAMUZIKI Shakira na Wyclef Jean, usiku wa leo wataongoza burudani katika fainali za Kombe la Dunia 2014 kati ya Ujerumani na Argentina. Staa wa Hip Hop kutoka Haiti, Wyclef Jean naye atakuwepo kutoa kburudani usiku huu. Mastaa wengine watakaoangusha burudani usiku wa leo ni pamoja na mpiga gitaa mahiri wa Mexico,… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania