Kibadeni aota robo fainali ya Kombe Mapinduzi
Zanzibar. Licha ya kupumulia mashine katika michuano ya Mapinduzi inayoendelea visiwani hapa, kocha wa Ashanti United, Abdallah ‘King’ Kibadeni amesema hajakata tamaa ya kusonga mbele katika hatua ya robo fainali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup
TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGb-H5HwK1zta5Dj4AjPUMcq1s6l7siMwg8rRl09kINAL0pLpehxZ9YakrD6PwFsycqHalKMdSpni-KieTEJcL6m/kombeladunia.gif?width=650)
ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GdVJdXbfLO4/XlV1bRz8HmI/AAAAAAALfa0/XA1kn_9ACGghfryMTafkirHLTu1PyiUrACLcBGAsYHQ/s72-c/4a8cc55f-1888-46fe-acac-f2162a8fa30e.jpg)
SAHARE UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA AZAM
Na Zainab Nyamka, Michuzi TV.
Kocha wa timu ya Sahare All Stars Kessy Abdalla amesema wamejipanga kucheza na timu yoyote watakayopangiwa nayo kwenye mchezo wa robo fainali ya Kombe la Azam ASFC.
Hayo ameyasema baada ya kumalizika kwa mchezo wa hatua ya 16 bora baada ya kuibuka na ushindi wa goli 5-2 dhidi ya Panama Fc ya Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ambapo Sahare All Stars waliweza kuibuka na ushindi huo mnono.
Kocha Abdalla amesema kuwa wao wanaamini...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s72-c/Tanzania_FF_(logo).png)
ROBO FAINALI KOMBE LA TAIFA WANAWAKE KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s1600/Tanzania_FF_(logo).png)
Mechi ya kwanza ya robo fainali ya michuano hiyo itakayooneshwa moja kwa moja na Azam Televisheni itaanza saa 9 alasiri kwa kuzikutanisha Mwanza na Kigoma. Robo fainali ya pili ambayo ni kati ya Tanga na Pwani itaanza saa 11 kamili jioni.
Ilala na Iringa watacheza robo...
11 years ago
GPL10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Fainali kombe la mapinduzi kupigwa leo
11 years ago
GPLNUSU FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s72-c/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s1600/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
Na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii Yaani huko Old Trafford katika klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...