Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fainali:Ghana kumenyana na Ivory Coast

Asamoah Gyan huenda atashiriki katika mechi ya fainali dhidi ya Ivory Coast baada ya kupata nafuu ya jeraha la kiuno.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast yatinga fainali za Afcon

Ivory Coast wamefuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon baada ya kuilaza Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo 3-1

 

10 years ago

GPL

IVORY COAST YATINGA FAINALI AFCON 2015

Kipa wa DRC, Kidiaba akijaribu kuokoa mpira wa kichwa ulipigwa na Gervinho bila mafanikio. Hata hivyo mpira huo uliokolewa na mchezaji wa DRC ukielekea nyavuni. KIKOSI cha Ivory Coast kikiongozwa na nahodha wake, Yaya Toure kimefanikiwa kutinga katika fainali za michuano ya Afcon 2015 baada ya kuichapa DR Congo mabao 3-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku huu Equitorial Guinea. Wafungaji wa mabao ya Ivory Coast...

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON nusu fainali ni Congo na Ivory Coast

Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON, inaendelea leo hatua ya nusu fainali kwa Ivory Coast kupambana na DR Congo.

 

10 years ago

GPL

MALI, IVORY COAST NAZO ZATINGA ROBO FAINALI AFCON

Mali wakipambana na Guinea. TIMU za Mali na Ivory Coast nazo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika 2015 kutoka Kundi D huku Guinea na Cameroon wakiyaaga mashindano hayo. Ivory Coast wakipongezana kwa ushindi dhidi ya Cameroon usiku huu. Mali wamesonga mbele baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Guinea huku Ivory Coast wakiwachapa Cameroon bao 1-0. Kwa matokeo hayo Mali na Ivory Coast… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ivory Coast yatwaa ubingwa kombe la AFCON 2015 kwa kuichapa Ghana 9-8

0f746cc1-2dc6-49fb-a44f-c7adb6a14c7f-2060x1236

Ivory Coast v Ghana Photograph: Khaled Desouki/AFP/Getty Images

And Barry scores!!!!! IVORY COAST ARE 2015 AFRICA CUP OF NATIONS CHAMPIONS.

What an amazing way to finish it. They could not be separated after 90 minutes. They could not be separated after an additional 30. The regular five penalties could not separate them either and it went all the way to the goalkeepers in sudden death. Braimah had his saved by Barry, who then stepped up to score the deciding kick.

Congratulations to Ivory...

 

10 years ago

BBCSwahili

Fainali:Barcelona kumenyana na Juventus

Mshambuliaji wa Barcelona raia wa Brazil Neymar anaamini kwamba urafiki wake na Lionel Messi na mshambuliaji Luis Suarez ndio sababu ya mafanikio makubwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani