FAIZA BADO ANADUNDA NA MWANAYE
![](http://api.ning.com:80/files/NQs0dYxvfMWIPCNtza*344xQB08QDERFmrZ5lB3i51v00HT5eAOLyrrIYEt*zRg-A15w2F7zuAu1-3krGIgOXbKH446SGTzq/10852938_800529123337629_414595070_n.jpg?width=650)
 Faiza Ally akiwa na mwanaye. Mrembo ambaye hivi karibuni jina lake limezidi kukua, Faiza Ally aliyezaa na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ bado anadunda na mwanaye tofauti na watu wanavyofikiri kuwa Sugu kamchukua. Kwa mujibu wa chanzo chetu, tangu mahakama iamuru kuwa mtoto achukuliwe na baba yake, haikuwa hivyo kwani Sugu alitaka mzazi mwenzie huyo ajifunze kuvaa vizuri.  ...Soma...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60evFLax4HVhtwNK6YAPpHzamy4THXIiNweW49rUySvIdBFfULV3l1eBz5PBzKZ4o7cI5h4V7KFenI8E94ihVT3XN/Faiza.jpg)
FAIZA AMBANIA SUGU ‘BETHIDEI’ YA MWANAYE
9 years ago
Bongo Movies30 Oct
Baada ya Yote, Faiza Kathibitisha Bado Anampenda ‘Sugu’
Aliyekuwa mpenzi wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi, Faiza Ally ameamua kuweka wazi kuwa japokuwa wamegombana na mzazi mwenzake lakini bado anampenda na kumthamini.
Kupitia kwenye akaunti yake wa instagram amepost picha ya Sugu na kuandika
“Alie kwambia simpendi nani ???? Nampenda ndio maana nili zaa nae na sio lazima nilale nae na kuamka nae ndio mjue nampenda – unaweza unampenda mtu kwa mbali na bado ukasimama kwenye ukweli tu – kwa mimi that’s true love – oh yes...
10 years ago
Bongo Movies07 Jan
Faiza:Hata Baada ya Kuzaa Naona Bado Nina Mvuto!!!
Mwigizaji wa filamu alietoa kali ya mwaka jana kwa kuvaa Diaper wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’ kwenye kusherekea siku yake ya kuzaliwa, Faiza Ally leo ameibuka na picha akiwa ufukweni amevalia vinguo vya kuogelea huku pembeni akiwa na mtoto wake nakudai kuwa bado ana mvuto hata baada ya kuzaa mtoto.
“Hata baada ya kuzaa naona niko sexy ile mbaya kudadadeki!!!!” Faiza aliandika
Haya hebu jionee na umwambie kitu mama huyu mwenye...
9 years ago
Bongo529 Oct
Faiza akiri kuwa bado anampenda baba wa mtoto wake Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi
10 years ago
Bongo529 Sep
Sugu na Faiza waachana, Faiza alia kwa uchungu, ‘wanaume nawasihi msiache wake zenu’
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tahariri: Mimba ya Aunt Ezekiel bado bado sana, blogs zitafute ukweli kwanza na sio kukurupuka
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Huenda nawe umezisikia taarifa zilizozagaa kwenye mitandao yaa kijaamii na kwingineko juu ya kuwa star mwenye mvuto wa asili anayetikisa Bongo kwa filamu mbalimbali, Msanii wa kike, Aunt Ezekiel ambaye kwa sasa ni mjamzito, amejifungua?.
Kwa taarifa za uhakika kutoka katikaa moja ya mtandao wa kijamii wa Global Publisher inayokubalika hapa nchini (http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/aunt-ezekiel-akanusha-taarifa-za-kujifungua-asema-video-ya) ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-p8IGMTG-NEo/VF9EN_aigqI/AAAAAAAGwJk/V8cabeJHRPw/s72-c/1f11Uganda-Cranes.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Maximo kamili, Phiri bado bado
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Tyx6FS0AhetMdry2kFdoKjQ7J4w1q-TlVES90LfH3Tq4i6m4*UjSWp-VONzfIMbrkV5mo1a3D78VuQW7SjkXf7nVcuexxW0/FAIZA.jpg)
MTOTO AMKATISHA USINGIZI FAIZA