Fastjet kuongeza ndege
KAMPUNI ya huduma za safari za anga nchini ya Fastjet, imeongeza idadi ya ndege ikiwa ni sehemu ya kuboresha huduma zake. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Masoko wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Viongozi wa kampuni ya Ndege ya Fastjet watembelea Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA)
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Mhandisi Suleiman S. Suleiman (katikati) akipokea zawadi ya sanamu ya ndege toka kwa Meneja Mkuu wa kampuni ya Ndege ya Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati baada ya viongozi wa kampuni hiyo kutembelea uongozi wa TAA na kufanya mazunguzmo mafupi hivi karibuni. Anayeshuhudia ni Meneja wa mahusiano kati ya Fastjet na Serikali, Engineer August Kowero.
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Kampuni ya ndege ya Fastjet kuisafirisha Timu ya Taifa Stars kwenda Algeria
Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu ya taifa Taifa Stars kwenda nchini, Algeria kwa mchezo utakaofanyika Novemba 17 mwaka huu.
Katibu wa Kamati ya Timu ya Taifa Stars, Teddy Mapunda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu hiyo kwenda nchini Algeria kushiriki mchezo wa marudiano utakaofanyika Novemba 17 ...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s72-c/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE , UGANDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdsgMWkHiyc/VCMD8RTO-NI/AAAAAAAAYKI/P0aWT6KdhJU/s1600/JEAN-UKU%2C-COMMERCIAL-MANAGER-AKIONGEA-NA-ABIRIA-WANAOSUBIRI-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FiE0f8UZY8U/VCMD808rEiI/AAAAAAAAYKU/kNKrNwsTeTY/s1600/KUSHOTO-JEAN-UKU-COMMERCIAL-MANAGER-NA-KULIA-JIMMY-KIBATI-GENERAL-MANAGER-AKIZINDUA-SAFARI-YA-KWANZA-YA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2tXAXz53io/VCMD9r0faJI/AAAAAAAAYKc/wnwQfTrovbA/s1600/MOREEN-AKIMKARIBISHA-SANJAVAN-SCHALLWILYE.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qaEX0pWicro/VCMD9h7hNxI/AAAAAAAAYKg/vRFzPTw4n7Q/s1600/TEAM-NZIMA-YA-FASTJET-ILIYOFANIKISHA-SHEREHE-FUPI-YA-SAFARI-YA-KWANZA-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
Ndege kati ya miji hii mikuu miwili zitaruka siku za...
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Kampuni ya Fastjet kutoa mafunzo kwa maafisa wa viwanja vya ndege juu ya masuala ya wanyamapori
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Shirika la ndege la Fastjet laanzisha safari mpya kati ya Dar es Salaam Tanzania na Entebbe, Uganda
Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe.
Meneja wa biashara wa Shirika la Ndege la Fastjet, Jean Uku, akiongea na wateja wa Fastjet kabla ya kuzindua rasmi safari hiyo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet nchini, Jimy Kibati na Meneja wa biashara wa Fastjet, Jean Uku, wakizindua rasmi safari za kwenda Entebe kutokea Dar es salaam.
Mhudumu wa...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg?width=650)
SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE, UGANDA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pSvEbfF9iZE/XuuHhdUuCVI/AAAAAAALugE/YtiHh18snQ0dFi7ZSGK6q1nlvjWUKeRfQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-28.jpg)
SERIKALI KUONGEZA IDADI YA NDEGE KUBEBA MINOFU YA SAMAKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pSvEbfF9iZE/XuuHhdUuCVI/AAAAAAALugE/YtiHh18snQ0dFi7ZSGK6q1nlvjWUKeRfQCLcBGAsYHQ/s640/1-28.jpg)
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akifafanua jambo wakati akifungua mkutano wa pili wa kujadili namna ya kurahisisha usafirishaji wa minofu ya samaki kutokea Kiwanja cha Ndege cha Mwanza uliofanyika jijini Dodoma. Kikao hicho kimewakutanisha viongozi wakuu wa Wizara tano kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
Shirika la Ndege la FASTJET lazindua safari mpya kutoka Kilimanjaro — Mwanza na Kilimanjaro — Entebe Uganda
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kulia ni Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK