Fedha, faida BoT inajadilika
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Hawa Ghasia, amesema mambo ya fedha na faida ya Benki Kuu (BoT) ambayo yanatajwa kuwa sehemu ya kero ya Muungano na kwa sasa Zanzibar inapata asilimia 4.5, yanajadilika katika serikali mbili kuhusu faida hiyo itaongezwa kwa Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
BoT yadhibiti bidhaa za ndani kununuliwa kwa fedha za kigeni
SHERIA ya usimamizi wa fedha za kigeni ya mwaka 1992 na kanuni za fedha za kigeni za mwaka 1998 zinaeleza kwamba Watanzania wanaruhusiwa kupokea, kumiliki na kutumia fedha za kigeni...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Masoko ya fedha, dhamana za serikali na faida zake
ASILIMIA kubwa ya watanzania hawafahamu maana ya masoko ya fedha, soko la dhamana za serikali na faida zake, jambo linalowafanya wengi kuwekeza mamilioni ya fedha kwenye biashara ambazo mwisho wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fKbKr2cWTn8/XrpqIGhCCdI/AAAAAAALp4w/W2_L_sLB5XkluXNuyYAH-A6gme5ezCXOwCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KAMATI YA SERA YA FEDHA BOT YASHUSHA AHUENI KWA WATANZANIA KATIKA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fKbKr2cWTn8/XrpqIGhCCdI/AAAAAAALp4w/W2_L_sLB5XkluXNuyYAH-A6gme5ezCXOwCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wI0T4ivhh2s/XrpnLeQCd-I/AAAAAAALp4k/ixTeb2MgpvsQkegfO4g9vb0gzZl3Qi8oQCLcBGAsYHQ/s640/kk.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mB3qupXh7hw/XrpnLDsnJfI/AAAAAAALp4g/-CoQsMnPviMmjfvVbw3FcSl17cAb5akKwCLcBGAsYHQ/s640/Taarifa%2Bkwa%2BUmma%2B120520-2.jpg)
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bIjGfIPeqx0/XkVu-777hJI/AAAAAAALdSE/hfu_70dOXcMKc44tzv5liOKHNib62QRmACLcBGAsYHQ/s72-c/6_1.jpg)
MFANYABIASHARA RUGEMALIRA AIAMBIA MAHAKAMA AMEMUANDIKIA BARUA GAVANA BOT ILI KUORODHESHA MAJINA YA WALIOPOKEA FEDHA ZA ESCRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bIjGfIPeqx0/XkVu-777hJI/AAAAAAALdSE/hfu_70dOXcMKc44tzv5liOKHNib62QRmACLcBGAsYHQ/s320/6_1.jpg)
MFANYABIASHARA James Rugemalira ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa amemuandikia barua Gavana wa Benki Kuu ya Tanzani(BoT), akimuomba amuorodheshee majina ya watu wote waliopokea fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ili ajisafishe kwani yeye hakupokea hata senti moja.
Hata hivyo Gavana alimjibu atatoa orodha hiyo pale atakapopata amri halali ya Mahakama ya kumtaka kufanya hivyo. Pia Rugemalira amedai ameandika notisi kwa taasisi...
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
10 years ago
VijimamboMIKUTANO YA WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA NA KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA WASHINGTON, DC
10 years ago
MichuziWIZARA YA FEDHA YAWAPA SEMINA WAANDISHI WA HABARI JUU YA MRADI WA MABORESHO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA
Alisema kuwa Mpaka sasa mradi huo...
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Wizara ya Fedha, IMF na WB wazungumzia sera fedha
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile ambaye ni kiongozi wa ujumbe kutoka Tanzania na anawakilisha kama Gavana Mbadala (Alternate Governor) pamoja na Gavana wa Benki Kuu Prof. Benno Ndulu ambaye pia ni Gavana katika mikutano hii.Katika picha viongozi hao wakiwa wanafanya majumuisho ya majadiliano ya awali na kukubaliana cha kufanya kwa pamoja na viongozi kutoka IMF na WB kuhusiana na hali ya uchumi kwa maana ya sera za fedha na sera za mapato...