Filamu 10 za Tanzania zilizofanya vizuri sokoni mwaka 2014
Bongo5 ikishirikiana wauzaji na wasambazaji wa filamu, wapenzi wa filamu hizo na wadau wengine kwenye kiwanda hicho nchini inakuletea orodha ya filamu 10 zilizofanya vizuri sokoni mwaka 2014. Bongo5 iliweza kushirikiana na wauzaji wa mitaani ‘Library’, wauzaji wa jumla wa maduka ya Kariakoo, pamoja na wasambazi wakuu wa filamu hapa nchini ambao ni Steps Entertainment, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Nov
Wasanii wa filamu 10 waliofanya vizuri mwaka 2014
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t29_JKUpVCQ/VokYRlMhAdI/AAAAAAAIQEE/PyLa2saPTk8/s72-c/d9ebc67c-9dd6-4fe9-8867-b3599b9926f3.jpg)
Navy Kenzo katika Chat ya Video 50 Bora za MTV Base Africa Zilizofanya Vizuri mwaka 2015..
![](http://1.bp.blogspot.com/-t29_JKUpVCQ/VokYRlMhAdI/AAAAAAAIQEE/PyLa2saPTk8/s400/d9ebc67c-9dd6-4fe9-8867-b3599b9926f3.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Jun
NMB yawazadia shule zilizofanya vizuri
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Msanii Lulu aitambulisha filamu yake mpya iitwayo Mapenzi ya Mungu, filamu yaingia sokoni leo
Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.
Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Kwa heri mwaka 2014 ulionogeshwa na filamu ya Katiba na Escrow
10 years ago
VijimamboMSANII LULU AITAMBULISHA FILAMU YAKE MPYA IITWAYO MAPENZI YA MUNGU LEO.FILAMU YAINGIA SOKONI LEO
10 years ago
GPLMSANII LULU AITAMBULISHA FILAMU YAKE MPYA IITWAYO MAPENZI YA MUNGU LEO.FILAMU YAINGIA SOKONI LEO
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Filamu ya ‘Mwiko’ yanukia sokoni
MUVI mpya ya kitanzania inayokwenda kwa jina la ‘Mwiko’ inatarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwezi ujao, ikiwa imekusanya nyota kibao wanaotikisa katika tasnia hiyo. Mkurugenzi wa OJM Film Company, Omary...