Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa heri mwaka 2014 ulionogeshwa na filamu ya Katiba na Escrow

Hatmaye miezi 12 imekamilika leo ikiashiria kumalizika kwa mwaka 2014 utakaokumbukwa na wengi kwa kuwa na matukio motomoto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tuthubutu kutakiana heri ya mwaka 2014?

NIANZE kwa kuwatakia heri na baraka tele kwa mwaka 2014. Naam, heri hizi Kionambali anajua kwamba ni za kiimani zaidi maana ukiangalia mambo kwa macho ya kibinadamu unaweza kucheka hadi...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunawatakia wote Heri ya Mwaka Mpya, 2014

Ni Januari Mosi leo, siku  ambayo Watanzania wote wanaungana na walimwengu kote duniani katika kuuanza mwaka mwingine katika kalenda na karne hii ya 21.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunaweza kuufanya mwaka 2014 uwe wa heri

HII ni makala yangu ya kwanza ya Wazo Jepesi kwa mwaka huu. Sikuweza kuandika makala kwa Jumapili zilizotangulia kwa sababu zilizokuwa juu ya uwezo wangu. Kwangu basi hii ni makala...

 

9 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAULID NA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya The Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni inayoongozwa na Kamanda  Ras Makunja yenye maskani nchini ujerumani inawatakieni kila la heri katika siku kuu ya Maulid el Nabii Muhammad(S.W.A) pia Heri ya siku kuu ya Krismasi kwa wadau wote iwena amani,upendo,furaha na mshikamano bila kusahau kupata muziki at www.ngoma-africa.com au www.reverbnation.com/ngomaafricabandjumuika nao at www.facebook.com/ngomaafricaband

 

10 years ago

Bongo5

Wasanii wa filamu 10 waliofanya vizuri mwaka 2014

Bongo5 ikishirikina na wasambazaji na wauzaji wa filamu, inakuletea orodha ya waigizaji 10 waliofanya vizuri mwaka 2014. Salim Ahmed aka Gabo Mwaka jana msanii huyu alitamba na filamu ya ‘Bado Natafuta’ ambayo bado inaendelea kufanya vizuri sokoni. Mwaka huu Gabo pia ameonekana kwenye filamu nyingi ikiwemo ‘Siri Ya Giningi’ iliyofanya vizuri sokoni akishirikiana na Sabby […]

 

10 years ago

Bongo5

Filamu 10 za Tanzania zilizofanya vizuri sokoni mwaka 2014

Bongo5 ikishirikiana wauzaji na wasambazaji wa filamu, wapenzi wa filamu hizo na wadau wengine kwenye kiwanda hicho nchini inakuletea orodha ya filamu 10 zilizofanya vizuri sokoni mwaka 2014. Bongo5 iliweza kushirikiana na wauzaji wa mitaani ‘Library’, wauzaji wa jumla wa maduka ya Kariakoo, pamoja na wasambazi wakuu wa filamu hapa nchini ambao ni Steps Entertainment, […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Hizi salamu za heri ya mwaka mpya toka kwa Nisha na Zamaradi zinatuhusu sote

Tukiwa tumebakiza siku chache tu kabla ya kumalizika kwa mwaka 2014. Mastaa hawa wawili toka tasnia ya filamu nchini wametoa salamu hizi za mwisho wa mwaka ambazo zinamhusu kila mtu. Ukitafakari vizuri na kuamua kufanyia kazi yaliyosema linaweza kuwa jambo la maana sana kwako.

 

Salma Jabu - Nisha

 

"Kila binaadam anaijua leo kesho haijui,tumebakisha siku chache inshaallah mwaka uishe,sijui km ntafika au sifiki. Kikubwa leo hii ambayo nimeiona naomba nichukue fursa hii kumuomba msamaha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani